Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,451
Njoo nitakuchukulia utakachoHili chama siliwezi mimi. Kuingia lindo bila kimywaji siwezi kabisa.
Njoo nitakuchukulia utakachoHili chama siliwezi mimi. Kuingia lindo bila kimywaji siwezi kabisa.
Shukrani sana kiongozi. Hiyo kitu nimestaafu kwaresma hiiSafi mie ,nacheza na safari lager hapa kiduka cha mangi ,mdg mdg,karibu

Achana nae mshamba tu.Nani huyo?wapi hapo kakutolea?
Tanda mti ndefu lakini ujue?Labda kama unanidanganya, ila kama kweli tandamti basi nakujua fika!
hem njoo huku unipe code kwanza ha ha haaa kauwoga kamenishika ujueAsee ,samahani mkuu kwa kukuharibia mfungoShukrani sana kiongozi. Hiyo kitu nimestaafu kwaresma hii![]()
![]()

Kwa Mangi wanaweza wakawa na pombe kali ninazokunywaga kweli?Njoo nitakuchukulia utakacho
UlimkataaNilijificha mwenyewe baada ya kutafuta mume hapa na kukosa.....aibu ilinishika![]()
![]()
![]()
Ni wapi?nipe linkAchana nae mshamba tu.
Hapa ana konyagi,jack Daniel,k vantKwa Mangi wanaweza wakawa na pombe kali ninazokunywaga kweli?
Kuko poa, natokea mji wa kiringo hukuHumu kuko fresh sijui mwenzetu weye huko utokeako

Hahahaaaa shost usisingizie ukosefu wa kinywaji, we sema u "mlaini" ulinzi huuweziHili chama siliwezi mimi. Kuingia lindo bila kimywaji siwezi kabisa.
Sio humu my dear.Ni wapi?nipe link
Usalama wa kutosha mkuu.Mkuu kitambo sana. Usalama huko?
Mi sio mlaini kweli. Tatizo langu la kukesha liliishaga ila naona limerudi kwa kasi toja hii week imeanza.Hahahaaaa shost usisingizie ukosefu wa kinywaji, we sema u "mlaini" ulinzi huuwezi
OK,pole dear MsameheSio humu my dear.
Inna ulimpata? Kaadimika sanaTufanye kesho kutwa shost, maana bado sijaazima hata make up kwa shoga angu Chausiku![]()
![]()
![]()
Nishamsemehe dearOK,pole dear Msamehe
Safi,hy ndio inatakiwa ,karibuNishamsemehe dear