Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Utakua mbeya wewe mana hahitaji hilo duvetSina Duvet![]()
Utakua mbeya wewe mana hahitaji hilo duvetSina Duvet![]()
Weekend wapi my dear niko kitandani usingizi hauji. Natamani niende hata 777 nikavute mudaWeend imeanza mapema naona
Tupo mkuu jamviniWatu mko wap?
Mwifa, inna, demis, kichwa kichafu, HB wa kigogo and the like
Anyway me nimefika kwa lindo
the haunting...





Tufanye kesho kutwa shost, maana bado sijaazima hata make up kwa shoga angu ChausikuKuanzia kesho utambulisho unaanza. Get ready

Pole ingekua mapema ungenipa hiyo kazi ya kukufikisha hokoWeekend wapi my dear niko kitandani usingizi hauji. Natamani niende hata 777 nikavute muda
Make up ya nini utaonekana umepania. Mashemeji zako hawana makuu hataTufanye kesho kutwa shost, maana bado sijaazima hata make up kwa shoga angu Chausiku![]()
![]()
![]()
wala sijategemea utawaza hivi
ulitegemea nitawazaje?Afadhali umekuja, kabla ya kukujibu swali lako naomba majibu ya barua niliyokupa umpelekee kaka yako Nleterewa Nganengo![]()
![]()
![]()
Nilikumiss dear, vip Kichwa Kichafu hajambo?
aliyekuteka. Gahawa chungu sana. Kashata na chai ya tangawizi tafadhali.

Potelea popote, wawe na makuu au madogo lazima nipake make up ili nisikutie aibu kwa mashemeji zanguMake up ya nini utaonekana umepania. Mashemeji zako hawana makuu hata

Kipenzi wa pekeeUpo bibieee
Nani alikufichamooooo
Ujasiri huo kwako sina umenikwepa kwa njia hiyo sawa tu nafasi hizo mimi sizikosei heshima ata kidogoMakosa ya kiuchapaji, wewe pia u miongoni mwa walionitosa.
Leo kuna mtu nimemwona amevaa kama wewe wacha nimparamie....![]()
![]()
![]()

Asante sana KK![]()
![]()
aliyekuteka.
Karibu tena bibie

Nimemuona mitaa flani hivi ya mjini....Ujasiri huo kwako sina umenikwepa kwa njia hiyo sawa tu nafasi hizo mimi sizikosei heshima ata kidogo
Umemuona wapi tena sina bahati natamani ungeniparamia mwenyewe![]()
![]()
![]()
Mimi hapa!Nani asiye na usingizi ka mie
Fanya uje uniparamie mwenyewe ni injoyNimemuona mitaa flani hivi ya mjini....
