JamiiForums Usiku wa manane
Makosa ya kiuchapaji, wewe pia u miongoni mwa walionitosa.

Leo kuna mtu nimemwona amevaa kama wewe wacha nimparamie....
Ujasiri huo kwako sina umenikwepa kwa njia hiyo sawa tu nafasi hizo mimi sizikosei heshima ata kidogo

Umemuona wapi tena sina bahati natamani ungeniparamia mwenyewe
 
Back
Top Bottom