JamiiForums Usiku wa manane
Hongera. Mimi sipendagi Amarula na vinywaji vya jamii yake. Basi siku naenda kwa bf eti akaninunulia amarula yeye kajinunulia Smirnoff Vodka. Kufika nisimfanye ajisikie vibaya nikasema ngoja tu ninywe. Nikamix na ile Smirnoff yake. Nikanogewa bwana. Kesho yake nikafanya tena hivyo. Nilirudisha chenchi sio kawaida. Kuanzia hapo sitaki tena Amarula wala Zanz wala Strawberry lips.
Napenda Sana Smirnoff Aithee Ipo Poa Ile Mbaya

Kurudisha Chenji Hukuwa Umezoea Chemistry Ya Ivyo Vinywaji

Jaribu Siku Ku Mix Bapa Na Dompo Ila Hakikisha Bf Yupo Mana Zinaweza Kukupanda
 
Napenda Sana Smirnoff Aithee Ipo Poa Ile Mbaya

Kurudisha Chenji Hukuwa Umezoea Chemistry Ya Ivyo Vinywaji

Jaribu Siku Ku Mix Bapa Na Dompo Ila Hakikisha Bf Yupo Mana Zinaweza Kukupanda
Dompo nilikuaga namix na grants au JD. Nilikua na mkaka ananipenda halafu akawa anajua napenda kunywa. Basi kila siku ananiletea dompo mbili. Yule ndo alinifanya nichukie dompo nahisi. Dompo tamu sana. Wine tamu zimenishinda kabisa. Dompo sasa hiv bila kumix na pombe kali na maji siwez kunywa kabisa.
 
Dompo nilikuaga namix na grants au JD. Nilikua na mkaka ananipenda halafu akawa anajua napenda kunywa. Basi kila siku ananiletea dompo mbili. Yule ndo alinifanya nichukie dompo nahisi. Dompo tamu sana. Wine tamu zimenishinda kabisa. Dompo sasa hiv bila kumix na pombe kali na maji siwez kunywa kabisa.
Sasa hivi una kunywa nn
 
Back
Top Bottom