JamiiForums Usiku wa manane
Karibu
6a8a96c41ce676fda37d2ee5b61e327c.jpg
 
Kavuu Tuuu
Hongera. Mimi sipendagi Amarula na vinywaji vya jamii yake. Basi siku naenda kwa bf eti akaninunulia amarula yeye kajinunulia Smirnoff Vodka. Kufika nisimfanye ajisikie vibaya nikasema ngoja tu ninywe. Nikamix na ile Smirnoff yake. Nikanogewa bwana. Kesho yake nikafanya tena hivyo. Nilirudisha chenchi sio kawaida. Kuanzia hapo sitaki tena Amarula wala Zanz wala Strawberry lips.
 
Back
Top Bottom