JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 482
Mm hadi sasa sijalala ninawaza hivi Kwann kusingefanyika mabadiliko usiku likawaka jua na mchana ikawaka mbalmwezi ingekua poa sana kwan joto limezidi Dar
Bado muda wa kufunga mlangoNifunge mlango au
Nifunge mlango au
Bado muda wa kufunga mlango
Mm hadi sasa sijalala ninawaza hivi Kwann kusingefanyika mabadiliko usiku likawaka jua na mchana ikawaka mbalmwezi ingekua poa sana kwan joto limezidi Dar
Uko lindo au sio?
Haari za asubuhi ndugu zangu..Sasa naona kuna utulivu humu ngoja nikaegeshe kwanza, nitarejea baadae...
Usiku mwema!!
Salama. Kumekucha kumbe?Haari za asubuhi ndugu zangu..
Kwa neema za Mungu tumeifikia asubuh NyingineSalama. Kumekucha kumbe?
Hongera...hao wengine labda leo wapo offWatu mko wap?
Mwifa, inna, demis, kichwa kichafu, HB wa kigogo and the like
Anyway me nimefika kwa lindo
Hata Mimi naonaHongera...hao wengine labda leo wapo off
Karibu tutembee woteNimewatembelea humu na mimi leo

Nimeshakaribia mkuuKaribu tutembee wote![]()
Kwaheri mwezi wa pili, sasa unaingia mwezi wa tatu, safari njemaNimewatembelea humu na mimi leo
Naona wamelalaLeo uzi mkavu
Mimi hapaNani yupo on haaaa haaa singizi paaaa