Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,492
We mbn hutak kunijbTumia black seed oil
We mbn hutak kunijbTumia black seed oil
Ila ni uamuzi kufuataBora umesemaa
Hahahahaha.... mwamshe umpe rahaLeo partner wangu in crime anakoroma sijui anataka kufanya tangazo la machine ya kuchakata taka ngumu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Natangaza kabisaa nimeshindwa kufunga mboni za macho yangu mwenzenu wacha nikodolee telemundo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Set frequency vizuri na uadjust vibration utauona mziki wake wenye tone murua kabisa
Pole sanaaaaGillette na ilinikata kidogo Wewe kanyama kaliuma hatar wala sikuvaa pichuuu siku 2 maana nilijisikia watofaut mwepesi
Asante mkuu,Cool mkuu,karibu
Set frequency vizuri na uadjust vibration utauona mziki wake wenye tone murua kabisa
[emoji4] [emoji4] Niko salama kabisaaaaAsante mkuu,
Tumia kinywaji kwa vzr.
Hahaha niliambiwa nipake limao ndo dawa jaman nimekomajeeKuna vipara vingine ni vya kudumu, vikisikia harufu ya maneno hayo vinauumuka
Ungetafuta kinyozi usingekatwa, mwenyewe lazima ujikate tu maana mkao wa kutekeleza hiyo shughuli ni shidaaaGillette na ilinikata kidogo Wewe kanyama kaliuma hatar wala sikuvaa pichuuu siku 2 maana nilijisikia watofaut mwepesi
Kama utatumia haya yanayokamuliwa kienyeji, inabidi uyachemshe kabla ya kwanza, yakishapoa dondoshea matone mawili kwenye jino linalouma kutwa mara 3Nafanyaje hebu nielekeze
AsanteeePole sanaaaa
Huu mwandiko atakuwa alianza kuutumia darasa la tanoMaandishi yakija huku yanakuwa bold halafu yana marinda. Una mwandiko mzuri sana usiku wa manane Mwifwa
Polee sana umeshalewaNiliamka kucheza kidogo, nimegonga benchi bia kama 7 zimepinduka
Asante sanaKama utatumia haya yanayokamuliwa kienyeji, inabidi uyachemshe kabla ya kwanza, yakishapoa dondoshea matone mawili kwenye jino linalouma kutwa mara 3
Siku nyingine tafuta msaidizi...Gillette na ilinikata kidogo Wewe kanyama kaliuma hatar wala sikuvaa pichuuu siku 2 maana nilijisikia watofaut mwepesi
Kabisa haya mateso nayapata nikiwa single sitaweza kuvumilia Hali kama hiiiUngetafuta kinyozi usingekatwa, mwenyewe lazima ujikate tu maana mkao wa kutekeleza hiyo shughuli ni shidaaa
Salama.