jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,584
Mmmh, ya kweli hayo?Nimekuhamu ujue embu angalia usije ukaanguka jirani wa dunia mie nikapata mshtuko

Mzigo wap? Wakt anamendea warembo apaAnachunga mzigo wake![]()
Unamtafuta nani huku? Mida hiii badala uhudumie ndoaStaki
Sukari ya warembo eeehhMzigo wap? Wakt anamendea warembo apa
Mmmh, ya kweli hayo?
Nikushukuru kwa kuhamiwa kwa mara ya kwanza toka mwaka uanze hakika umekua kama maji ya bahari kwangu![]()
![]()
![]()





Nayaona kipenziWawoo!!!![]()
![]()
jaman unaona mambo yalivyo kipenz
![]()
Worry not bebie.You can say that again hun
i
Hakuna neno jirani yangu, tuendelee kufurahia uumbaji wa Mungu tuu![]()

Thad umempeleka wapi?Kabisa ni bora jirani aliye karibu, kwa maana chabo i karibu![]()
![]()
Hata mimi nipo singo, je twaweza kuwa kopo?Humu naona couples tu.. Kwa hiyo singles ndio wanalala![]()
Siku yako imeendaje lakin laaziz wanguNayaona kipenzi
Hivi kumbe nimekuita, basi itakua nimekufananishaAbeeeee

Karibu sanaAisee na mimi nimo leo kwenye uzi huu.😛😛
Karibu sana mkuuAisee na mimi nimo leo kwenye uzi huu.😛😛
Haswaa umenena vyema sana jirani yanguHakuna neno jirani yangu, tuendelee kufurahia uumbaji wa Mungu tuu![]()