Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,194
- 27,096
Hiki kidudu mtu sijui kinafanyaje humu sahzInna tafadhali mpeti peti huyu mzee alale[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hiki kidudu mtu sijui kinafanyaje humu sahzInna tafadhali mpeti peti huyu mzee alale[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Swali chokonozi hili.Nimejipanga na soon, mtapewa mialiko tuombe uzima
Enhe nawe kamanda stunter umempiga chini
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hiki kidudu mtu sijui kinafanyaje humu sahz
Nimekuhamu ujue embu angalia usije ukaanguka jirani wa dunia mie nikapata mshtukoHahaha juzi nikajaribu kumpa ofa ya bombadia, akaniambia saivi hatumii mataputapu tena anakunywa sijui Sminofu... Sijui inaitwa minofu, ngoja nikaangalie kwenye dikshenari narudi[emoji125] [emoji125]
iNakuham Hata nikiona huu mwandiko.
Nipo apa kipenzi nawazooom tuInna bae upo wap!!
AhahahaaaaaaAngalia isije ikavute bangi
ShikamooooKipenzi upo?
Kabisa ni bora jirani aliye karibu, kwa maana chabo i karibu[emoji40] [emoji125]Miss u mo Jirani kipenzi. Uwepo wako muhimu sana kwangu.
[emoji12] [emoji12] aisee basi ya kaisali tumwachie kaisaliT
Tulia shem jmn, ndo nn tena? Kuna vitu ukiona ukirudi home ukiulizwa kama ulishamwona shem unakana. Umekuja kuwaje tena?
Mimi sizooomuki kabisaNipo apa kipenzi nawazooom tu
[emoji15] [emoji15] [emoji86] [emoji86] [emoji125] [emoji125]T
Tulia shem jmn, ndo nn tena? Kuna vitu ukiona ukirudi home ukiulizwa kama ulishamwona shem unakana. Umekuja kuwaje tena?
Huyu pimbi wangu umemuona wapi maana kanikimbia kimya kimya.cc carbamazepine
Wawoo!!![emoji7] [emoji8] [emoji132] jaman unaona mambo yalivyo kipenz [emoji91]Nipo apa kipenzi nawazooom tu
Hakuna neno jirani yangu, tuendelee kufurahia uumbaji wa Mungu tuu [emoji4][emoji4]Miss u mo Jirani kipenzi. Uwepo wako muhimu sana kwangu.
Karibu sanaa jiskie uko nyumban...nawe tutakugawanya kama unatakaHivi nyie watu wa usiku mbona mmeshajigawa sasa wageni inakuwaje
Mchana niliona amenipa like moja kwenye uzi wa Demiss wa kutakiana asubuhi njema.Huyu pimbi wangu umemuona wapi maana kanikimbia kimya kimya.
StakiShikamoooo
Anachunga mzigo wake [emoji41]Hiki kidudu mtu sijui kinafanyaje humu sahz