Jaji Francis Mutungi atangaza kuzuia Mikutano na Makongamano ya Vyama vya Siasa kwa muda kutafuta suluhu

Msajili wa milele wa vyama vya siasa Tanzania , Francis Mutungi amekubali kutumika hadharani na ccm baada ya kutoa Tangazo la kukataza makongamano ya vyama vya siasa , kwa maelezo kwamba wanasiasa wasubiri kwanza kikao na IGP katika tarehe isiyojulikana .

Kwa wasiojua katiba ya nchi , Francis Mutungi kama mtu binafsi au kama Msajili wa vyama vya siasa HANA , HAJAWAHI KUWA NA HATOKUJA KUWA NA MAMLAKA YA KUZUIA MIKUTANO YA KISIASA WALA MAKONGAMANO , hili si jukumu lake

----
View attachment 1926218
PICHA: Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi, amevitaka vyama vya siasa nchini kusimamisha makongamano na mikutano ya kisiasa kwa muda ili kupisha mazungumzo baina ya vyama vya Siasa, Polisi na Ofisi ya Msajili ili kutafuta suluhu ya mikutano na makongamano.

Jaji Mutungi ameyasema hayo leo Jijini Dar es Salaam na kwamba katika kipindi hiki cha kuelekea mazungumzo hayo ni vyema vyama vikasitisha makongamano na mikutano ya kisiasa mpaka hapo mazungumzo yatakapo fanyika ili kuondoa sintofahamu iliyoibuka baada ya polisi kudaiwa kuingilia mikutano ya kisiasa.

Hatua hiyo imekuja baada ya siku za hivi karibuni Chama cha NCCR- Mageuzi kilinukuliwa kikilalamikia kuzuiwa na Jeshi la Polisi kufanya mkutano wa Kamati Kuu katika eneo la Msimbazi baada ya Polisi hao kuvamia mkutano huo.

PIA SOMA
1. Polisi wasambaratisha kikao cha Kamati Kuu ya NCCR-Mageuzi
Nilidhani utashukuru kwamba mutungi is seeking for alignment and understanding

lakini kumbe wwwe unataka mikutano tu endlessly na bila tija

anyways - all the best
 
Tunajenga uchumi kwanza kwa sasa, kipindi hiki kigumu ambapo uchumi wa dunia nzima umeshuka! Hivi saa hizi uene nchi kama India au USA uwaambie kipaumbele chako ni katiba mpya si watakuona chizi!! Dunia nzima inahangaika inajikomboa vipi na hili janga nyie mnataka kipaumbele cha taifa kiwe katiba mpya! Kila jambo litafanyika, ila kwa wakati muafaka, muwe mnajua kusoma alama za nyakati na kubadilika
Mbona ukimwi upo hamjasimamisha kukimbiza mwenge
 
Usipoweka tangazo halali utakuwa unahamasisha wana jf kuleta taharuki. Likipatikana hilo zuio basi tumchambue huyu Jaji juu ya utendaji kazi wake kulingana na taaluma na kiapo chake.
Msajili wa milele wa vyama vya siasa Tanzania , Francis Mutungi amekubali kutumika hadharani na ccm baada ya kutoa Tangazo la kukataza makongamano ya vyama vya siasa , kwa maelezo kwamba wanasiasa wasubiri kwanza kikao na IGP katika tarehe isiyojulikana .

Kwa wasiojua katiba ya nchi , Francis Mutungi kama mtu binafsi au kama Msajili wa vyama vya siasa HANA , HAJAWAHI KUWA NA HATOKUJA KUWA NA MAMLAKA YA KUZUIA MIKUTANO YA KISIASA WALA MAKONGAMANO , hili si jukumu lake

----
View attachment 1926218
PICHA: Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi, amevitaka vyama vya siasa nchini kusimamisha makongamano na mikutano ya kisiasa kwa muda ili kupisha mazungumzo baina ya vyama vya Siasa, Polisi na Ofisi ya Msajili ili kutafuta suluhu ya mikutano na makongamano.

Jaji Mutungi ameyasema hayo leo Jijini Dar es Salaam na kwamba katika kipindi hiki cha kuelekea mazungumzo hayo ni vyema vyama vikasitisha makongamano na mikutano ya kisiasa mpaka hapo mazungumzo yatakapo fanyika ili kuondoa sintofahamu iliyoibuka baada ya polisi kudaiwa kuingilia mikutano ya kisiasa.

Hatua hiyo imekuja baada ya siku za hivi karibuni Chama cha NCCR- Mageuzi kilinukuliwa kikilalamikia kuzuiwa na Jeshi la Polisi kufanya mkutano wa Kamati Kuu katika eneo la Msimbazi baada ya Polisi hao kuvamia mkutano huo.

PIA SOMA
1. Polisi wasambaratisha kikao cha Kamati Kuu ya NCCR-Mageuzi
2. ACT Wazalendo: Tunalaani vikali kitendo cha Jeshi la Polisi kuvamia na kuzuia Kikao cha Kamati Kuu ya NCCR Mageuzi
3. Kyela: Polisi wazuia kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa Chadema
Kama ndiyo hivyo kuanzia yeye mtungi na wafanyakazi wote wa ofisi yake inabidi wachukue likizo ya bila malipo kwa muda usiyo julikana hadi atakapo luhusu vyama vifanye kazi,maana Kama vyama hazitafanya kazi yoyote hata yeye atakuwa anapokea mshahara wa bule.
 
Msajili wa milele wa vyama vya siasa Tanzania , Francis Mutungi amekubali kutumika hadharani na ccm baada ya kutoa Tangazo la kukataza makongamano ya vyama vya siasa , kwa maelezo kwamba wanasiasa wasubiri kwanza kikao na IGP katika tarehe isiyojulikana .

Kwa wasiojua katiba ya nchi , Francis Mutungi kama mtu binafsi au kama Msajili wa vyama vya siasa HANA , HAJAWAHI KUWA NA HATOKUJA KUWA NA MAMLAKA YA KUZUIA MIKUTANO YA KISIASA WALA MAKONGAMANO , hili si jukumu lake

----
View attachment 1926218
PICHA: Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi, amevitaka vyama vya siasa nchini kusimamisha makongamano na mikutano ya kisiasa kwa muda ili kupisha mazungumzo baina ya vyama vya Siasa, Polisi na Ofisi ya Msajili ili kutafuta suluhu ya mikutano na makongamano.

Jaji Mutungi ameyasema hayo leo Jijini Dar es Salaam na kwamba katika kipindi hiki cha kuelekea mazungumzo hayo ni vyema vyama vikasitisha makongamano na mikutano ya kisiasa mpaka hapo mazungumzo yatakapo fanyika ili kuondoa sintofahamu iliyoibuka baada ya polisi kudaiwa kuingilia mikutano ya kisiasa.

Hatua hiyo imekuja baada ya siku za hivi karibuni Chama cha NCCR- Mageuzi kilinukuliwa kikilalamikia kuzuiwa na Jeshi la Polisi kufanya mkutano wa Kamati Kuu katika eneo la Msimbazi baada ya Polisi hao kuvamia mkutano huo.

PIA SOMA
1. Polisi wasambaratisha kikao cha Kamati Kuu ya NCCR-Mageuzi
2. ACT Wazalendo: Tunalaani vikali kitendo cha Jeshi la Polisi kuvamia na kuzuia Kikao cha Kamati Kuu ya NCCR Mageuzi
3. Kyela: Polisi wazuia kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa Chadema
4. Musoma: Polisi Wazingira ofisi ya CHADEMA kulikopangwa kufanyika kongamano la Katiba Mpya
Huyu mzee atakufa vibaya huyu.
 
Tunajenga uchumi kwanza kwa sasa, kipindi hiki kigumu ambapo uchumi wa dunia nzima umeshuka! Hivi saa hizi uene nchi kama India au USA uwaambie kipaumbele chako ni katiba mpya si watakuona chizi!!

Dunia nzima inahangaika inajikomboa vipi na hili janga nyie mnataka kipaumbele cha taifa kiwe katiba mpya! Kila jambo litafanyika, ila kwa wakati muafaka, muwe mnajua kusoma alama za nyakati na kubadilika
Ila ibilisi alietoweshwa alisema hatuna corona
 
Jaji Mutungi ameyasema hayo leo Jijini Dar es Salaam na kwamba katika kipindi hiki cha kuelekea mazungumzo hayo ni vyema vyama vikasitisha makongamano na mikutano ya kisiasa mpaka hapo mazungumzo yatakapo fanyika ili kuondoa sintofahamu iliyoibuka baada ya polisi kudaiwa kuingilia mikutano ya kisiasa.
Kwani KATIBA ya Nchi haitumiki tena? Au tunataka mjadala gani tena? Katiba inasemaje?
 
Msajili wa milele wa vyama vya siasa Tanzania , Francis Mutungi amekubali kutumika hadharani na ccm baada ya kutoa Tangazo la kukataza makongamano ya vyama vya siasa , kwa maelezo kwamba wanasiasa wasubiri kwanza kikao na IGP katika tarehe isiyojulikana .

Kwa wasiojua katiba ya nchi , Francis Mutungi kama mtu binafsi au kama Msajili wa vyama vya siasa HANA , HAJAWAHI KUWA NA HATOKUJA KUWA NA MAMLAKA YA KUZUIA MIKUTANO YA KISIASA WALA MAKONGAMANO , hili si jukumu lake

----
View attachment 1926218
PICHA: Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi, amevitaka vyama vya siasa nchini kusimamisha makongamano na mikutano ya kisiasa kwa muda ili kupisha mazungumzo baina ya vyama vya Siasa, Polisi na Ofisi ya Msajili ili kutafuta suluhu ya mikutano na makongamano.

Jaji Mutungi ameyasema hayo leo Jijini Dar es Salaam na kwamba katika kipindi hiki cha kuelekea mazungumzo hayo ni vyema vyama vikasitisha makongamano na mikutano ya kisiasa mpaka hapo mazungumzo yatakapo fanyika ili kuondoa sintofahamu iliyoibuka baada ya polisi kudaiwa kuingilia mikutano ya kisiasa.

Hatua hiyo imekuja baada ya siku za hivi karibuni Chama cha NCCR- Mageuzi kilinukuliwa kikilalamikia kuzuiwa na Jeshi la Polisi kufanya mkutano wa Kamati Kuu katika eneo la Msimbazi baada ya Polisi hao kuvamia mkutano huo.

PIA SOMA
1. Polisi wasambaratisha kikao cha Kamati Kuu ya NCCR-Mageuzi
2. ACT Wazalendo: Tunalaani vikali kitendo cha Jeshi la Polisi kuvamia na kuzuia Kikao cha Kamati Kuu ya NCCR Mageuzi
3. Kyela: Polisi wazuia kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa Chadema
4. Musoma: Polisi Wazingira ofisi ya CHADEMA kulikopangwa kufanyika kongamano la Katiba Mpya
Amesimamisha kwani kabla ya Hili zuio, wapi kumefanyika mkutano, kongamano au vikao vya kisiasa?
Seems hakuwepo nchini ama hakuwa anafanya kazi yake kama custodian wa vyama vya siasa.

Hata hivyo, hayo mamlaka ameyapatia wapi???

NB; Hayo maelezo hayakihusu CCM kama chama cha siasa.
 
Msajili wa milele wa vyama vya siasa Tanzania , Francis Mutungi amekubali kutumika hadharani na ccm baada ya kutoa Tangazo la kukataza makongamano ya vyama vya siasa , kwa maelezo kwamba wanasiasa wasubiri kwanza kikao na IGP katika tarehe isiyojulikana .

Kwa wasiojua katiba ya nchi , Francis Mutungi kama mtu binafsi au kama Msajili wa vyama vya siasa HANA , HAJAWAHI KUWA NA HATOKUJA KUWA NA MAMLAKA YA KUZUIA MIKUTANO YA KISIASA WALA MAKONGAMANO , hili si jukumu lake

----
View attachment 1926218
PICHA: Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi, amevitaka vyama vya siasa nchini kusimamisha makongamano na mikutano ya kisiasa kwa muda ili kupisha mazungumzo baina ya vyama vya Siasa, Polisi na Ofisi ya Msajili ili kutafuta suluhu ya mikutano na makongamano.

Jaji Mutungi ameyasema hayo leo Jijini Dar es Salaam na kwamba katika kipindi hiki cha kuelekea mazungumzo hayo ni vyema vyama vikasitisha makongamano na mikutano ya kisiasa mpaka hapo mazungumzo yatakapo fanyika ili kuondoa sintofahamu iliyoibuka baada ya polisi kudaiwa kuingilia mikutano ya kisiasa.

Hatua hiyo imekuja baada ya siku za hivi karibuni Chama cha NCCR- Mageuzi kilinukuliwa kikilalamikia kuzuiwa na Jeshi la Polisi kufanya mkutano wa Kamati Kuu katika eneo la Msimbazi baada ya Polisi hao kuvamia mkutano huo.

PIA SOMA
1. Polisi wasambaratisha kikao cha Kamati Kuu ya NCCR-Mageuzi
2. ACT Wazalendo: Tunalaani vikali kitendo cha Jeshi la Polisi kuvamia na kuzuia Kikao cha Kamati Kuu ya NCCR Mageuzi
3. Kyela: Polisi wazuia kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa Chadema
4. Musoma: Polisi Wazingira ofisi ya CHADEMA kulikopangwa kufanyika kongamano la Katiba Mpya
Amefanya hivyo kwa kutumia kifungu kipi cha sheria ya bunge?
 
Chama kongwe dola cha CCM inahusika pia na katazo hili la msajili wa vyama vingi? Kwa maana CCM nacho kisitishe shughuli za kisiasa mpaka jeshi la polisi litoe tamko.

Je ni rasmi jeshi la usalama kwa maana ya Polisi sasa limechukua hatamu, na kusitisha (suspend) vifungu ktk katiba ya nchi inayohusu siasa ya vyama vingi mpaka litakapotoa mwongozo?

Je nchi ya Tanzania sasa inatawaliwa kijeshi na siyo kwa kufuata katiba na sheria zilizotungwa na kupitishwa na Bunge?
 
Katiba mpya ni ya lazima mfano wa kujiuliza watanzania mchakato wake wa kumpata huyo msajili uko vipi wengi hawajui na nani wa kumuwajibisha akivunja taratibu pia

Na kwanini wakatae mikutano wakati katiba inasema ni ruksa watu kukusanyika?

Hapo pia kabana uhuru wa kutoa maoni means kavunja katiba pia
Makongamano ya Katiba. Ametumia kifungu gani cha sheria?
 
Katiba mpya ni ya lazima mfano wa kujiuliza watanzania mchakato wake wa kumpata uko vipi wengi hawajui na nani wa kumuwajibisha akivunja taratibu pia

Na kwanini wakatae mikutano wakati katiba inasema ni ruksa watu kukusanyika?

Hapo pia kabana uhuru wa kutoa maoni means kavunja katiba pia
Wamechoka madarakani na vibri pia.
 
Back
Top Bottom