johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,990
- 142,007
Awali nilikuwa naichukulia kiurahisi sana ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
Kumbe Msajili wa Vyama vya Siasa ana Kazi kubwa sana ya kuchunguza Vyama vya Siasa na Malengo yao kamili
Unaweza kudhani unasajili CHAMA cha Siasa kumbe ni Kikundi cha Wahuni wenye Malengo tofauti kabisa
Mungu wa mbinguni mbariki Jaji Mutungi
Mlale Unono 😀
Kumbe Msajili wa Vyama vya Siasa ana Kazi kubwa sana ya kuchunguza Vyama vya Siasa na Malengo yao kamili
Unaweza kudhani unasajili CHAMA cha Siasa kumbe ni Kikundi cha Wahuni wenye Malengo tofauti kabisa
Mungu wa mbinguni mbariki Jaji Mutungi
Mlale Unono 😀