crome20
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 1,130
- 721
Kama agenda yake ni KATIBA mpya basi huyo ndiye mwamba tunayetaka kumsikiliza.Maana katiba ndio inayotengeneza mfumo wa utawala na namna ya kuwajibika. Labda Kama hujui nguvu ya katiba katika maisha ya kawaida, ukadhani NI kakijitabu tu basi, ninakupa pole Sana. Na hiyo ndio 95% suruhisho la matatizo yetu