USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Aisee Lissu hana jipya; ni matatizo yake binafsi na jamii inayafahamu sana maana taarifa za yeye kushambuliwa na kukimbilia Ulaya sio jambo gani masikioni mwa watanzania kama ni pole tulimpa sana sasa maisha lazima yaendelee tu ,kwa waliosomea mambo ya habari watakubaliana na mimi kuwa kama jambo linajulikana sio habari tena.
Kwa sasa hoja za kitaifa ishu za maisha magumu ,tozo , uzembe kazini, mfumuko wa bei,na n.k ishu ya katiba CCM ya Samia imesha sema watawapa sasa lisu aje na ishu za msingi sio za kujiita chiba hana analojua kuhusiana na maisha ya wananchi wala nini anawaza maisha yake tu.
1. Hoja ni kiinua mgongo chake
2. Kuishi Ulaya kwa tabu kama mgonjwa
3. Kutembelewa na makamu wa rais akiwa hospitali
4. Dereva wake alipo
5. Katiba na mikutano ya siasa( hii walishakubaliana na CCM
Kama kuna mtu anadhani kuna jipya kwa lisu atasubili sana.
Anadai anaiamini zaidi CCM ya kuliko wapinzani wenzake huyu hayuko sawa kwani UKAWA vipi tena
USSR
Kwa sasa hoja za kitaifa ishu za maisha magumu ,tozo , uzembe kazini, mfumuko wa bei,na n.k ishu ya katiba CCM ya Samia imesha sema watawapa sasa lisu aje na ishu za msingi sio za kujiita chiba hana analojua kuhusiana na maisha ya wananchi wala nini anawaza maisha yake tu.
1. Hoja ni kiinua mgongo chake
2. Kuishi Ulaya kwa tabu kama mgonjwa
3. Kutembelewa na makamu wa rais akiwa hospitali
4. Dereva wake alipo
5. Katiba na mikutano ya siasa( hii walishakubaliana na CCM
Kama kuna mtu anadhani kuna jipya kwa lisu atasubili sana.
Anadai anaiamini zaidi CCM ya kuliko wapinzani wenzake huyu hayuko sawa kwani UKAWA vipi tena
USSR