Historia ya maisha yangu

Historia ya maisha yangu

I think we're missing a point here.
Watu wanasema kumsaidia mwanaume si kigezo cha kumfanya akupende, swali ni je mwanamke ndio aliemtongoza mwanaume?? Kama jibu ni hapana then kwenye swala la upendo mwanaume ndo mwenye kosa kwa kuanzisha mahusiano pasipo kua na nia ya kumpenda Kipepeo wa chuma1

Swala la pili ni kwamba majukumu ya malezi ni ya wazazi wote wa2 haijalishi mmetengana au bado ni mume na mke, kama ni hivyo kwanini huyu mwanaume hatekelezi majukumu yake kama mwanaume regardless mapungufu ya mdada??? Kafeli mara ya 2

Swala la mwisho Kipepeo wa chuma1 kaenda kudai haki ya mtoto na si yake, then kwanini huyu jamaa ageuze kibao amuhusishe mkewe hadi kufikia hatua ya kutaka kumuua mtoto wa mwanamke mwenzie???

Ninachokiona si dada kuumizwa na mafanikio ya mwanaume bali ni ile hali ya kukataa kumuhudumia mtoto hadi kufikia hatua ya kutaka kutoa uhai wa mtt na ndicho hasa kinachomfanya huyu mwanamama kuchukua maamuzi magumu

Ifike mahali kama wanaume tuthamini hizi machine zenu hasa kizazi chetu kama huna plan za kuoa wala huna uwezo wa kulea hakikisha haumwagi ndan and if you do so, jiandae kuface responsibilities na sio bla bla
Mimi na watoto watatu kwa mama tofauti na wote nagharamia kila kitu 100%,mwanaume ambae hatunzi mtoto wake ni shoga tu....unatesa damu yako kama alikulazmisha umzae
 
Habari za mida wana JamiiForums.

Naomba nami nitoe kisa changu cha maisha cha kweli.

Kifupi ni nimelelewa na wazee wangu, nimesoma kwa tabu sana, ila kwakuwa nilikuwa vizuri darasani nilitoboa kila nilipopita.

Nimemaliza chuo kikuu nikarudi home, nikaajiriwa na kampuni binafsi kwa mkataba wa miaka mitatu, ndani ya mwaka serikali ikatangaza ajira na nikaajiriwa baada ya kuapply na interview zote nikashika nambari one.

Nikaanza kazi serikalini, nikaperform Kama yote, nikapandisha mapato ya halmashauri fulani Hadi kutikia kupewa cheti cha mkusanyaji mapato mahiri wa halmashauri.

Nikakutana na kijana mmoja, nilimtangulia chuo mwaka mmoja, akiwa kwenye mishe za yeye naye kutoka, nikamsapoti sana, tukawa wapenzi, nikashika ujauzito, Hadi kuzaa, ingawaje yeye alisita kwakuwa alikuwa Hana mbele Wala nyuma, nikamwambia relax, tuzae tutajua ya mbeleni.

Kweli nikazaa salama kwa kudra za Mungu, na nikahudumia mambo mengi kwakuwa hakuwa na kitu enzi hizo. Tukaenda nikiwa namsapot project zake, alipoanza kutoboa akaanza kubadilika, ukimwuliza anakuwa mkali. Nikavumilia Sana then nikaona nimwache tu, kisicho riziki hakiliki.

Nikamwambia tubaki wazazi, mengine fanya yako nami nifanye yangu, akakubali, so nikawa busy najitafutia na mwanangu. Tukakubaliana fifty fifty kwenye mahitaji ya mtoto, lakini akawa hatekelezi, ikafika kipindi nikaacha kumtafuta manake ukimtafuta anageuza story. Anyways ntarudi manake huyu mtu atakachofanywa ukoo wake mzima utajikusanya.🙏👊🏼

Sehemu ya Pili
Ameshafilisika?

Maana kuna jamaa nchi jirani alioa mke wa Sumbawanga. Bahati mbaya mke wake Kafariki.

Ndani ya miezi miwili jamaa akataka kufunga ndoa, wakwe na ndugu wa mke wakamuomba asifunge ndoa asubirie hata kaburi la mtoto wao liote nyasi.

Jamaa akawajibu hawezi yeye ameshaamua- ndugu wa mke wakamuambia kwakuwa mali alizonazo ndiyo zinampa kiburi basi watamuonyesha.

Ndani ya wiki magari 7 ya mwamba yakala mzinga..... Siku ya harusi alikuwa amemuagizia nje mke mpya gari na yenyewe ikiwa inapelekwa Zambia kabla ya kufika mpakani Tunduru nayo ikala mzinga.

Kwahiyo magari nane ndani ya wiki moja yalipata ajali.

Watu wa Sumbawanga hapana, mtafanya wanaume wasioe huko Kwakweli.
 
Ameshafilisika?

Maana kuna jamaa nchi jirani alioa mke wa Sumbawanga. Bahati mbaya mke wake Kafariki.

Ndani ya miezi miwili jamaa akataka kufunga ndoa, wakwe na ndugu wa mke wakamuomba asifunge ndoa asubirie hata kaburi la mtoto wao liote nyasi.

Jamaa akawajibu hawezi yeye ameshaamua- ndugu wa mke wakamuambia kwakuwa mali alizonazo ndiyo zinampa kiburi basi watamuonyesha.

Ndani ya wiki magari 7 ya mwamba yakala mzinga..... Siku ya harusi alikuwa amemuagizia nje mke mpya gari na yenyewe ikiwa inapelekwa Zambia kabla ya kufika mpakani Tunduru nayo ikala mzinga.

Kwahiyo magari nane ndani ya wiki moja yalipata ajali.

Watu wa Sumbawanga hapana, mtafanya wanaume wasioe huko Kwakweli.
Sasa nikutoe jalalani ambapo hao maslay Quee walikuwa wanakuona kinyesi,afu uniletee shobo? thubutuuu 😂anadondoka mdogomdogo ama nilivyompndisha mdogomdogo,ni suala la muda tu🙏
 
Sasa nikutoe jalalani ambapo hao maslay Quee walikuwa wanakuona kinyesi,afu uniletee shobo? thubutuuu 😂anadondoka mdogomdogo ama nilivyompndisha mdogomdogo,ni suala la muda tu🙏
Umeshafeli wewe, wenzako walipofanya haijatumia muda mrefu.
 
Usiombe mwanamke akutoe kimaisha afu umuache ,yaan matusi kama nimekukuta pu.....m..bu tupo ,unanuka kikwapa ,sijui hujui kuvaaa ,sijui umepauka n.k yatakuwa kama salamu kwako .na ukiwazaaa unaona ni kweliii kaniokota nilikuwa nimechokaaa basi unaumiaaaa balaa na kukosa amani
Ahaahahhaaahhaa...unanuka pumb.uu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Shida yako mkorofiii unaonekana,jamaa ukute muelewa sanaa ilaa ww mbabeee sanaaa, ukishakuwa mwanamke mwanaharakati matokeo yake ndo haya unaachwa na pesa zako,uzuri wako na tako lako kubwaaa ,anatafutwa mwenye hana pesa ,hana uzuri ,hana tako ilaa anajua kuwa mke manaake nini
Kwahiyo pumzi inaondoka au??

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom