



....Mkuuuu siwezi ishi kwa hisia
Nimepata malaria ...Kuna mtu kanitumia mbu....
Kama wewe unaamini una maajabu Sana ndo maana unarogwa sana...Sasa hayo maajabu Mimi nayataka ya Nini?
Naulivyosimamishwa kazi....Akikuroga ulimfanyaje?...
Huyo mume wa mtu unaetembea nae....utakuwa ushamroga Sanaaaa.....
Kama unamaajabu....Kwanini hao waganga wako wasikupe Dawa huyo mume wantu akuoe kihalali mke WAPILI....
Unajisifia Ulozi alafu Ni michepuko unafichwa kwa kiroba Cha Bangi.....nioneshe hiyo nyota yako kaliii...na hayo maajabu yako