Historia ya maisha yangu

Historia ya maisha yangu

Loga Ni kuloge....maisha yakifala Sana haya
kurogwa asilimia Kubwa Ni hisia... Unahisi unarogwa ....

Labda umkute mtu live nyumbani kwako au uone madawa... But wengi wetu..huwa tunahisi tu
Hisia eeh,hawajakufanyizia,na kwakuwa nyota yako mdogo,huna maajabu🤣
 
Walitaka kumdhuru vipi?

Up to then mtoto alikua anakaa na nani? Baba yake au wewe? If alikua kwako how they accessed the kid? Au mpo jirani as in you live here, they enjoy themselves just next door?

Walitaka kumuua/kumdhuru by which method au mistreat/torture/kiushirikina as your planned approach?

Hell hath no fur as a woman scorned. But please breathe. Dont think to open a can of worm coz mwenyewe ushasema wameshashtukia na wao wanapambana. Even if you are more specialized.., we here have begged you a million times sweetheart hear us out back down, retreat... revenge belongs to God.
Haya maswali yako nitayajibu shoo ikiisha.
 
Hisia eeh,hawajakufanyizia,na kwakuwa nyota yako mdogo,huna maajabu
....Mkuuuu siwezi ishi kwa hisia
Nimepata malaria ...Kuna mtu kanitumia mbu....

Kama wewe unaamini una maajabu Sana ndo maana unarogwa sana...Sasa hayo maajabu Mimi nayataka ya Nini?

Naulivyosimamishwa kazi....Akikuroga ulimfanyaje?...

Huyo mume wa mtu unaetembea nae....utakuwa ushamroga Sanaaaa.....

Kama unamaajabu....Kwanini hao waganga wako wasikupe Dawa huyo mume wantu akuoe kihalali mke WAPILI....

Unajisifia Ulozi alafu Ni michepuko unafichwa kwa kiroba Cha Bangi.....nioneshe hiyo nyota yako kaliii...na hayo maajabu yako
 
Nishamshtukia huyu ana lolote kaamua tu kufanya uzi wake uende
Badala aroge apate mume wakumkuna na kulea watoto wake ...Anakazana kuroga baba wa mtoto wake....

Revenge Ni mafanikio yako....hilo ndo humuuma zaidi mwanadamu...
 
Badala aroge apate mume wakumkuna na kulea watoto wake ...Anakazana kuroga baba wa mtoto wake....

Revenge Ni mafanikio yako....hilo ndo humuuma zaidi mwanadamu...
Kasema ana mume jaman...tusimkashifu..huenda akaloga kweli jamaa akafirisika roho ikamtulia
 
Hana mume shosti Ni mchepuko tu.... Ndo.maana Mimi namshauri Aroge huyo mume amuache mkewe amuoe yeye...au amuoe mke WAPILI.... ..hayo ndo maajabu... Yanayotakiwa kwenye Ulozi..
Hahaha mnaharibu uzi sasa....ngoja tusikie hilo bomu la kwa lya mfipaaa....
 
....Mkuuuu siwezi ishi kwa hisia
Nimepata malaria ...Kuna mtu kanitumia mbu....

Kama wewe unaamini una maajabu Sana ndo maana unarogwa sana...Sasa hayo maajabu Mimi nayataka ya Nini?

Naulivyosimamishwa kazi....Akikuroga ulimfanyaje?...

Huyo mume wa mtu unaetembea nae....utakuwa ushamroga Sanaaaa.....

Kama unamaajabu....Kwanini hao waganga wako wasikupe Dawa huyo mume wantu akuoe kihalali mke WAPILI....

Unajisifia Ulozi alafu Ni michepuko unafichwa kwa kiroba Cha Bangi.....nioneshe hiyo nyota yako kaliii...na hayo maajabu yako
Sikujibu utanimalizia bando🤣saivi naenda mnadani kula nyama ya mbuzi,so nipumzishe kidogo,nitarudi jioni.
 
Hana mume shosti Ni mchepuko tu.... Ndo.maana Mimi namshauri Aroge huyo mume amuache mkewe amuoe yeye...au amuoe mke WAPILI.... ..hayo ndo maajabu... Yanayotakiwa kwenye Ulozi..
Hahah huyo sitaki aachike,kwani Hana maajabu chumbani,na jamaa shoo zake za kibabe yeye haziwezi,soon tunaenda bomani kuhalalisha na yeye atabaki na heshima ya mke wa kwanza.Siwezi mfanyia hila sababu nilimkuta.
 
Kuna maswali mnauliza ambayo sipaswi kuyajibu saivi,mzee wangu mwingine yuko ngende mtwara,naye ashaanza kushughulika,ameuza ekari zangu mbili za urithi,nimemruhusu kushughulikia hili

Mmh hio hela Bora ungemuekea mtoto kwa ajili ya ada
Kweli kisasi ni kibaya
Ulipokosa ada ya mtoto mbona huku uza hizo hekari mbili?
My dear I understand wamekuchokoza na una hasira sana ila kuwa makini maamuzi yako ya sasa yanaweza kuwa mzigo badae
Pole sana kwa unachopitia
Nakuombea upate amani,kwa sasa hauna furaha wala amani
 
Hana mume shosti Ni mchepuko tu.... Ndo.maana Mimi namshauri Aroge huyo mume amuache mkewe amuoe yeye...au amuoe mke WAPILI.... ..hayo ndo maajabu... Yanayotakiwa kwenye Ulozi..
Hahah huyo sitaki aachike,kwani Hana maajabu chumbani,na jamaa shoo zake za kibabe yeye haziwezi,soon tunaenda bomani kuhalalisha na yeye atabaki na heshima ya mke wa kwanza.Siwezi mfanyia hila sababu nilimkuta.
Mmh hio hela Bora ungemuekea mtoto kwa ajili ya ada
Kweli kisasi ni kibaya
Ulipokosa ada ya mtoto mbona huku uza hizo hekari mbili?
My dear I understand wamekuchokoza na una hasira sana ila kuwa makini maamuzi yako ya sasa yanaweza kuwa mzigo badae
Pole sana kwa unachopitia
Nakuombea upate amani,kwa sasa hauna furaha wala amani
Furaha ninayo tele,kuuza ekari kotu gani?mzee wangu Ana mashamba Kama yote,so wataisoma tu.
 
Hahah huyo sitaki aachike,kwani Hana maajabu chumbani,na jamaa shoo zake za kibabe yeye haziwezi,soon tunaenda bomani kuhalalisha na yeye atabaki na heshima ya mke wa kwanza.Siwezi mfanyia hila sababu nilimkuta.
Sasa...Mimi nachotaka Ni uolewe na huyo mwanaume...Mkae mleee hao watoto na mzae watoto....hiyo nguvu yako ya ULOZI ....elekeza huko.....Kama KWELI unaaamini kurogana.... Huko ndo unakotakiwa kuinvest Ulozi wako.....
 
Yani kila nikimzoom jamaa anavyotetemeka yeye na mama yake na mkewe naishia kutabasamu,hahahah,wanasema usianzishe vita usiyoimudu,hahahah ikishindwa katavi tunaingia ngende,hahahah,na katavi haijawahi shindwa
Wape juju kali, tena njoo inbox nkupe ufundi, unaweka juju ya kumaliza ukoo mzima, hakibaki kitu had kiumbe cha tumboni km kuna mwenye nacho ktk huo ukoo kinakwenda na maji.
Fanya kweli mom, usiogope.
 
Hana mume shosti Ni mchepuko tu.... Ndo.maana Mimi namshauri Aroge huyo mume amuache mkewe amuoe yeye...au amuoe mke WAPILI.... ..hayo ndo maajabu... Yanayotakiwa kwenye Ulozi..
Hahah huyo sitaki aachike,kwani Hana maajabu chumbani,na jamaa shoo zake za kibabe yeye haziwezi,soon tunaenda bomani kuhalalisha na yeye atabaki na heshima ya mke wa kwanza.Siwezi mfanyia hila sababu nilimkuta.
 
Back
Top Bottom