Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
😊😊😊😊😊You deserve a sincere tight hugh dear😍🤩😊
😊😊😊😊😊You deserve a sincere tight hugh dear😍🤩😊
Namsumbua wakati ni jukumu lake,atasikia mlio tu
Ndo maana na mm hapo juu nimemuuliza yeye kauli zake zikoje? Ujue hata kama umenitoa vichakani nikiwa sina mia haimanishi unitawale na kuninyanyasa kisa umenisaidia ,hata mungu hawez kubar dua zake kama kweli hampi jamaa amani kisa kumtoa kimaisha .
Pia huyu Dada pamoja na yote ni femist fulan hivi kitu ambacho wanaume hatupendi kabsa wanawake wa hivi na ikichangia huyu ni msomi na tunavyojua wadada wasomi wanavyo behave sababu wanajiweza .
Na uhakika aki muita huyo jamaaa kwa adabu na kumweleza afanye jambo kwa mwanae lililo ndani ya uwezo wake hawezi kataa,lakin,lakin approach yake inaweza kuwa inafanya jamaa akose haki ya kumsaidia mwanae sababu mama analeta nyodo nyingi na mtoto ili asaidike lazima msaada upitie kwa mama sababu mtoto bado mdogo
Inaweza kuwa jamaa anataka mtoto asome shule ada million moja ,mama MTU anakomaa asome ya million 4 ili mradi jamaa ateseke na vile anakuwa na familia mbili ni kama anamkomoa vile
Dada Fanya hivi
Leo mpigie simu ongea nae kwa busara ,msikilize maoni yake kuhusu mtoto ,mshauri kiustaarabu na ki adabu na pia shukuru kwa msaada wowote atakaotoa kwa upendo wa hali ya juu na unyenyekevu wa hali ya juu.kama jamaa hatabadililika basi huyo mtoto sio wake ulimbambikia .
Umeongea la maana sana ila nakwambia ujue kabisa huyu dada hawezi kusikiliza anachotaka ni jamaa arudi kwake (analazimisha mahusiano) kitu ambacho hakiwezi kutokea
Bora umekiri..ingawa sidhan kama sangoma atasaidia...ni kumlilia Mungu amuadabishe hapa hapa dunianiWanaune mda mwngne tunajitoaga Akili tu,Uyu dada hana tatizo bora aende uko kwa Sangoma ili akili imkae sawa uyo jamaa
Unaporudi katavi nipitie hapa namanyere🤭Hapana lazima nilipe kisasi kwa heshima ya mwanangu, huyu hakuja kwa bahati mbaya,alipangwa aje Kama mzaliwa wa kwanza kwa babaye,mauchafu aliyomfanyia huyo mama wa kambo wakati alimkuta mtoto,nikikusimulia yanatisha,kwahiyo narudi katavi kuongea na wazee.
Fanya hivyo utaona matunda yake ,usiwe mbabe na hela utapata lakin zisikupe kiburi kwenye suala la mapenziIla kweli mahusiano yanataka mmoja awe mjinga...hiyo para ya mwisho mm siwez kbs jaman dah hapana jaman ndo maana natafuta hela zangu by hooks n crooks .chaaa, unenitelekeza then nikunyenyekekee..jaman Mbingu nitaiskiaga tu
Naudhikaga na hiz swag zenu...eti nijishushe why ww usijishushe kwangu na nimekuzalia mtoto? Why haya uloandkka usigeuze ukamshauri huyo kaka? Ah mm hapana...pita hvFanya hivyo utaona matunda yake ,usiwe mbabe na hela utapata lakin zisikupe kiburi kwenye suala la mapenzi
Kwanini huyo mwanaume asingekataa Kusaidiwa tangu hapo mwanzoShida iko wapi we singo maza? Simple tu ulikuwa unadhani kipato chako ndio mapenzi. Mapenzi sio pesa pale aliposita tu ulitakiwa ujiongeze. Hakuna mwanaume anayetegemea mwanamke amwongoze kwenye maisha wewe ulidhani kipato chako kitakufanya upendwe, ulikosea hapo
TULIA ULEE MTOTO AKITOKEA WAKUTOKEA FUNGA NAE NDOA
Shida yako mkorofiii unaonekana,jamaa ukute muelewa sanaa ilaa ww mbabeee sanaaa, ukishakuwa mwanamke mwanaharakati matokeo yake ndo haya unaachwa na pesa zako,uzuri wako na tako lako kubwaaa ,anatafutwa mwenye hana pesa ,hana uzuri ,hana tako ilaa anajua kuwa mke manaake niniNaudhikaga na hiz swag zenu...eti nijishushe why ww usijishushe kwangu na nimekuzalia mtoto? Why haya uloandkka usigeuze ukamshauri huyo kaka? Ah mm hapana...pita hv
Daah kumbe ndiyo wewe? Karibu tena!Kweli mapenzi,mahusiano na ukaribu Kati yangu Mimi naye ikaisha.Nikawa bize kumlea mwanangu kwa neema za Mungu.Miaka imekatika Hadi leo ni mwaka wa nne.Nilimove on completely.Changamoto za maisha huwa zipo tu,nikaja nikasimamishwa kazi kupisha uchunguzi,nikakaa nyumbani mwaka mzima,nikiwa nalea mtoto wangu wa pili kwa huyu mwanaume niliye naye Sasa.Hali ya kiuchumi ikabadilika Sana,marafiki wakatoweka,nikauza assets zangu kibao ili kusurvive.
Kwakuwa sikuwa na kosa nikarudishwa kazini Ila nikiwa nimeporomoka Sana kiuchumi.Kazini nako nikarudi upinzani ukawa mwingi manake walishanilebo vibaya.Wateja wakawa washanisahau,waliobaki ofisini wakawa wamechukua nafasi yangu,basi ikawa full tafrani.Sijakaa vizuri nikahamishiwa mbali huko mpakani na nchi jirani.Kiuchumi nilikuwa Hali tete,nikaona Bora nimchek baba wa mwanangu atoe sapoti kwa mwanae shule,e bwana eeh alichonijibu na kufanya yeye na mkewe,ndicho kimefanya nilete mkasa huu.
Naudhikaga na hiz swag zenu...eti nijishushe why ww usijishushe kwangu na nimekuzalia mtoto? Why haya uloandkka usigeuze ukamshauri huyo kaka? Ah mm hapana...pita hv
Shida yako mkorofiii unaonekana,jamaa ukute muelewa sanaa ilaa ww mbabeee sanaaa, ukishakuwa mwanamke mwanaharakati matokeo yake ndo haya unaachwa na pesa zako,uzuri wako na tako lako kubwaaa ,anatafutwa mwenye hana pesa ,hana uzuri ,hana tako ilaa anajua kuwa mke manaake nini
Yaani we Jamaa comments zako ni kama vile huyo mwanaume kutelekeza mwanamke na mtoto kafanya sawaLearn to forget and move on with your life. Unasikia uchungu kwa material things? Vipi watu wanaosomesha mtu na akimaliza anamwagwa na maisha yanaendelea? Jamaa ameamua kukutosa wewe na mwanae, hapo kuna maawili mshitaki au lah achana nae assume kama amekufa
Ila ingekuwa ndiyo tumesikia mwanaume kasomesha mpenzi wake halafu baada ya kufanikiwa huyo mpenzi wake akamuacha bila shaka ungeshauri huyo mwanaume afanye chochote kibaya kwa huyo mpenzi wakeUjumbe wangu kwako waache hao jamaa (mzazi mwenzio na mkewe) waendelee na maisha yao. Wewe pambana na hali yako na mwanao. Unajikosesha amani bure wenzako wana-enjoy maisha yao. Huyo mtu hukupangiwa awe wako usilazimishe
Unafikiri Mungu ndiyo anauendekeza huo ujinga wa kuzalisha mwanamke kisha unatelekeza mtotoHamna kitu kama hicho. Wivu ndio tatizo lako kuu. Na elewa hata ukimuua huyo jamaa haitakusaidia kwa lolote zaidi ya kukuongezea msongo wa mawazo maradufu.
Halafu mlipa kisasi ni Mungu tu wewe utajisumbua kwa wazee wako na utachanjwa mpk ulimi ila Mungu akisema No ni No
Mkuu kwani hakuna wanaume wanaowasaidia wanawake halafu Mwisho wa siku wanawaambia maneno kama hayoUsiombe mwanamke akutoe kimaisha afu umuache ,yaan matusi kama nimekukuta pu.....m..bu tupo ,unanuka kikwapa ,sijui hujui kuvaaa ,sijui umepauka n.k yatakuwa kama salamu kwako .na ukiwazaaa unaona ni kweliii kaniokota nilikuwa nimechokaaa basi unaumiaaaa balaa na kukosa amani