Dumuzii
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,601
- 8,687
Kama mwenyezi ambavyo hajaruhusu mwanao kudhurika na uchawi wao unao dai . Nikumbushe pia hata ruhusu uchawi wako uwadhuru na aibu itabaki kwako . Na majuto yataendelea Kama kawaida . Maana katika maisha ya kawaida hamna Alie beba ugomvi akabaki salama .
Inavyo onesha wewe ni mwanamke mshirikina na maandiko Yana tuaasa Nini juu ya mwanamke mshirikina...?
Inavyo onesha wewe ni mwanamke mshirikina na maandiko Yana tuaasa Nini juu ya mwanamke mshirikina...?




♀️