Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Wee...kumbe ni mke tu anatakiwa awe mnyenyekevu?? Ndo naiskia hapa ! Hapana siko ndoani ndo natafuta humuMahusiano yanataka mke awe mnyenyekevu, 50/50 ni mpango wa Ibilishi yule shetani.
Upo kwenye ndoa wewe?



