chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,824
- 3,846
Tunasubiri mrejesho baada ya kufanya hayo,unayoamini ndio njia sahihi.ila angalia usije ukaja na thread ya season 2,ya kilio Cha majuto.halafu nikukumbushe ,pesa inauwezo wa kufanya zaidi ya hayo unayotaka kwenda kufanya.mwenzio ana hela ,na ww huna.NB.......Mungu pekee ndio anaweza kutoa pigo takatifu la kisasi ambalo likitua halimuachi mtu salama ,iwe wewe au yeye.


