Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,275
- 2,970
Sijahisi ni kweli,that's y nimekasirika
Achana na kijibu hizo comments tupe mwendelezo, arosto tayari

Sijahisi ni kweli,that's y nimekasirika

Tatizo mzee kanambia nitulie kwanza akamilishe kazi,manake huyu bwege naye anahangaika,Ila lazima tumdhibiti,nimeshtak kwa wazee wamesema Kama ni kweli itajibu tu,na ishu ni kwel so asubiri mlio,katavi hakudanganyi.Achana na kijibu hizo comments tupe mwendelezo, arosto tayari![]()
Aiseee na wale wanaochoma wapenzi wao visu au kuwaunguza kwa magunia ya mkaa siyo wanaume? Hivi ni kwamba makosa yenu huwa hamyaoni au ni mfumo dume tu ndiyo umewajaa kwenye akili zenu na mioyo yenu?Wao wamezidi ,sie tunakubar na kuona ulitoa sadaka
Ninyi si Ndiyo mnaishiaga kuwachoma visu au kuwaunguza kwa magunia ya mikaaNa sisi wanaume ingekua ni kuwaroga tungewaroga wengi
Unapenda kunipinga boss. Ni namba tu
Kwani wewe kutokuelewa kiingereza ni tatizo lake yeye? Na huu ndiyo mfano mzuri wa jinsi gani wanaume mnavyojua kuwatupia lawama wanawake kwenye kila tatizo!Ongea kiswahil ww ili tukuelewe
Hapana lazima nilipe kisasi kwa heshima ya mwanangu, huyu hakuja kwa bahati mbaya,alipangwa aje Kama mzaliwa wa kwanza kwa babaye,mauchafu aliyomfanyia huyo mama wa kambo wakati alimkuta mtoto,nikikusimulia yanatisha,kwahiyo narudi katavi kuongea na wazee.
No nilikaa kimya Kama mjinga,wamefanya yao,wanataka hadi kumuua mwanangu,kwahiyo nitulie tu? hapana,nilipomkuta wakati namnunulia boksa namrudisha![]()
♀️Simtaki nataka alee damu yake,na leo vitaumana simpo,Hana maajabu![]()

Now kipepeo, breathe! Breathe Beaut IN, nasty OUT!
If you say so about kumtoa /kumu guide to success/finding some legs uyo jamaa... God made you his Angel okay... dont take too much credit ndo maana inakuuma jamani. If he decided to ditch you sweetheart just move on... fate will decide. Dont think to revenge okay?! Kwanza umebarikiwa unajiweza so why uanze kuwaza so rotten hivyo??? Be careful cause if you decide to resent/ revenge ukute na yeye kashajipanga to give you a taste of your own medicine apo ndo sisi tunaokupenda tunakua concerned sana coz it may move from bad to the worst.
You are brave, beautiful and blessed. Continue to be a blessing and make this world a better place to everyone dont wish to be a Jezebel/Satan to no one.
We loke you. Most important your kids and this current mchumba loves you. That should suffice. Why be bothered by this other dude you think is a bastard![]()
"Kumbadili mtoto jina ni kumuadhibu kwa makosa ya baba yake" He/She doesn't deserve such kind of punishment. Malizana na babaye.M
Mie mfipa nikimalizana naye Nampa mwanangu ubini wa home.
Aiseee na wale wanaochoma wapenzi wao visu au kuwaunguza kwa magunia ya mkaa siyo wanaume? Hivi ni kwamba makosa yenu huwa hamyaoni au ni mfumo dume tu ndiyo umewajaa kwenye akili zenu na mioyo yenu?
Kusoma kote hujaelewa tu kuwa huyu dada yetu ndio Kimeo?Kwanini huyo mwanaume asingekataa Kusaidiwa tangu hapo mwanzo
Hivi hii maana yake nini ? Mnatutishaga tukipita kwenye vilima vile vinaitwa jina hilo.Hapana katavi inahusika,lyamba la mfipa
Huwezi hukumu kwa kusikiliza upande mmojaI think we're missing a point here.
Watu wanasema kumsaidia mwanaume si kigezo cha kumfanya akupende, swali ni je mwanamke ndio aliemtongoza mwanaume?? Kama jibu ni hapana then kwenye swala la upendo mwanaume ndo mwenye kosa kwa kuanzisha mahusiano pasipo kua na nia ya kumpenda Kipepeo wa chuma1
Swala la pili ni kwamba majukumu ya malezi ni ya wazazi wote wa2 haijalishi mmetengana au bado ni mume na mke, kama ni hivyo kwanini huyu mwanaume hatekelezi majukumu yake kama mwanaume regardless mapungufu ya mdada??? Kafeli mara ya 2
Swala la mwisho Kipepeo wa chuma1 kaenda kudai haki ya mtoto na si yake, then kwanini huyu jamaa ageuze kibao amuhusishe mkewe hadi kufikia hatua ya kutaka kumuua mtoto wa mwanamke mwenzie???
Ninachokiona si dada kuumizwa na mafanikio ya mwanaume bali ni ile hali ya kukataa kumuhudumia mtoto hadi kufikia hatua ya kutaka kutoa uhai wa mtt na ndicho hasa kinachomfanya huyu mwanamama kuchukua maamuzi magumu
Ifike mahali kama wanaume tuthamini hizi machine zenu hasa kizazi chetu kama huna plan za kuoa wala huna uwezo wa kulea hakikisha haumwagi ndan and if you do so, jiandae kuface responsibilities na sio bla bla
..mmebaki wakuhesabu..Mwenyezi Mungu azidi kukubarikiI think we're missing a point here.
Watu wanasema kumsaidia mwanaume si kigezo cha kumfanya akupende, swali ni je mwanamke ndio aliemtongoza mwanaume?? Kama jibu ni hapana then kwenye swala la upendo mwanaume ndo mwenye kosa kwa kuanzisha mahusiano pasipo kua na nia ya kumpenda Kipepeo wa chuma1
Swala la pili ni kwamba majukumu ya malezi ni ya wazazi wote wa2 haijalishi mmetengana au bado ni mume na mke, kama ni hivyo kwanini huyu mwanaume hatekelezi majukumu yake kama mwanaume regardless mapungufu ya mdada??? Kafeli mara ya 2
Swala la mwisho Kipepeo wa chuma1 kaenda kudai haki ya mtoto na si yake, then kwanini huyu jamaa ageuze kibao amuhusishe mkewe hadi kufikia hatua ya kutaka kumuua mtoto wa mwanamke mwenzie???
Ninachokiona si dada kuumizwa na mafanikio ya mwanaume bali ni ile hali ya kukataa kumuhudumia mtoto hadi kufikia hatua ya kutaka kutoa uhai wa mtt na ndicho hasa kinachomfanya huyu mwanamama kuchukua maamuzi magumu
Ifike mahali kama wanaume tuthamini hizi machine zenu hasa kizazi chetu kama huna plan za kuoa wala huna uwezo wa kulea hakikisha haumwagi ndan and if you do so, jiandae kuface responsibilities na sio bla bla
Mkuu unamuattack san huyu mdada..simama kama mdogo wako wa kike au hata mwanao..sio vizuri kumuita majina ya ajabu ajabu mara single mama mara sijui hutishwi na maneno ya mtu alokosa direction ..hapana kwakweli..ana mzigo mzito sana acha kashfa ..am sorry kama nimekukwazaKusoma kote hujaelewa tu kuwa huyu dada yetu ndio Kimeo?