Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,345
- 10,822
Afanye kila awezalo kufanikisha Azma Yake...Mana tushamshauri ..Ataliwa hela mpaka ashangae akubali tu kuwa mpole
Afanye kila awezalo kufanikisha Azma Yake...Mana tushamshauri ..Ataliwa hela mpaka ashangae akubali tu kuwa mpole
AiseeHabari za mida wadau.kama awali nilivyosema naenda mshtaki kwa wazee katavi yule ng'ombe,nilifanya hivyo, first time akapangua manake umekuwa mchezo wake ,yeye na mama yake na mkewe kwa miaka mi4 Sasa,huku nikiwa sijui.
Mzee akapiga ya kwanza,Bibi yake mchawi akapangua,yuko nchi jirani.Akaivunja nguvu.
Mzee akaona,akajibu shambulizi,wakatepeta. Ila wakaamka na kuanza kujibu Tena,hahahah Kama movie ya Rambo vile,so saivi tunaingia awamu ya pili ya mashambuliz,kumbe ulikuwa mshirikina kenge wewe,sikufahamu,sema umechezea mwanangu na Mimi vya kutosha.Nilidhan tutalea kizungu ,kucoparent,kumbe umelelewa na wanga all along.
Afu maza ako anaumwa na ustaafu wake likikukosa wewe litampata yeye.Vita ni Vita murah.salaam toka katavi.




Tunaomba mrejesho mfipa mwenzangu mbna saizi kimya vipi babu hajafanikiwa?
Kusoma ni Jambo lingine kua na maarifa namna yakuishi ni Jambo lingine pia.



.....Tulia yameanza mdogo mdogo,wamepanik mbaya,Ila nikiandika huku wanapangua,so mzee kasema nichil afanye yake kwanza,aluta continua 🙅no retreat no surrunder, 🔌💥✨Kipepeo wa chuma1 mbona hujaleta muendelezo na mrejesho wa yaliyompata mzazi mwenzio?
Nipende uchafu huo ambao haujui hata ku.tomba mwanamke 🤣🤣Ila kuachwa kuachwa ni shughuli pevu mbaya zaidi kwa yule uliyempenda
Kazi inaendelea kimya kimya,tushampigw kombola moja,kumbuka lengo ni arudi zero so unaenda mdogomdogo🙅tumeanza na gari yake ya mjapani🤣🤣Tunaomba mrejesho mfipa mwenzangu mbna saizi kimya vipi babu hajafanikiwa?
Kusoma ni Jambo lingine kua na maarifa namna yakuishi ni Jambo lingine pia.
Acha ujinga wewe,katavi haidanganyi 🙏,tukimkosa huko tunampata nakonde,ngoma haivuki mpaka ,ikishindikana nakonde nasalimu amri🙅I told youmtu yoyote aliopo huko kabla hajafanya chochote lazima kwanza ajikinge sasa endeleeni na huyo babu yako wa katavi siku jamaa akirufisha mapigo mtakimbiana mfe
we zani mchezo .....
Nilikuambia kwa Nini tu usimuamini mwenyezi Mungu alie muepusha mwanao na mabalaa yote na kimfanya aendelee kudunda tu mtaani. Wewe umeendelea kukomalia vibuyu na huyo babu yako.
Acha ujinga maana kinacho fuata ni maumivu makali Sana.
UwiiiiiiiNipende uchafu huo ambao haujui hata ku.tomba mwanamke 🤣🤣
Sasa tutajuaje muendelezeo bibieTulia yameanza mdogo mdogo,wamepanik mbaya,Ila nikiandika huku wanapangua,so mzee kasema nichil afanye yake kwanza,aluta continua 🙅no retreat no surrunder, 🔌💥✨
Ngoma si ya siku moja,Kama nilivyompandisha mdogomdogo ndo anashuka hivyohivyo🤣I told youmtu yoyote aliopo huko kabla hajafanya chochote lazima kwanza ajikinge sasa endeleeni na huyo babu yako wa katavi siku jamaa akirufisha mapigo mtakimbiana mfe
we zani mchezo .....
Nilikuambia kwa Nini tu usimuamini mwenyezi Mungu alie muepusha mwanao na mabalaa yote na kimfanya aendelee kudunda tu mtaani. Wewe umeendelea kukomalia vibuyu na huyo babu yako.
Acha ujinga maana kinacho fuata ni maumivu makali Sana.
Ntakuwa naupdate kimyakimya,hapa tushailenga Prado 🤣🤣Sasa tutajuaje muendelezeo bibie
Mmeitoa upepo matairi?Ntakuwa naupdate kimyakimya,hapa tushailenga Prado 🤣🤣
Upepo?🤣🤣🤣mzinga double kickMmeitoa upepo matairi?
Hebu acheni ujinga ww na babu yako hahahah. Sasa ukimuua mtoto abaki bila baba?Upepo?🤣🤣🤣mzinga double kick
Hatumuui 🤣tunamrudisha sitimbi tulipo mkuta mseng.ery yule🤣Hebu acheni ujinga ww na babu yako hahahah. Sasa ukimuua mtoto abaki bila baba?