witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,096
Mmmmh radi?Huo ni mtazamo wako
Unamshauri vizuri hata mimi naungana na wewe
Ila sasa kuupokea ushauri wako au kuuacha ni maamuzi yake hatuwezi kumlazimisha
Maisha ni yake ,akiharibu ni yeye mimi na wewe hatudhuriki so tumuache mtu atumie nafasi ya maisha yake kama anavyo taka
Script ya maisha yake ni yake wacha sisi tutengeneze script tofauti kupitia makosa yake
Umeshamwambia inatosha tuendelee kusubiri muendelezo wa hizo radi
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app