Kipepeo wa chuma1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2021
- 387
- 558
- Thread starter
- #281
Hapana watakiwa kuripot mwenyewe,Ila unaenda ripot Nini Sasa ikiwa hata mtoto huna,huna mume,huna alokukosea,unaenda ripot Nini?Mkuuu...Mimi Sina Mume Sina mtoto...na Sina hela..
Ndo maana nakwambia UNIFANYIE udalali huko kwa mganga wako....nikitumie angalau jina namimi unirogeeee
Wallahi life is hard

