Hili suala la wanafunzi kubaki shule lina umuhimu mkubwa kwa maisha ya baadaye ya mtoto wako

Wazazi mwanao kama yupo form four, aendelee kusoma na kujisomea, haya matamko ya wanasiasa ni matamko ya kisiasa.

Wewe mwanao yupo shule ya kata, na unajua kuwa ili aweze kupata nafasi ya kwenda hata VETA au kuongeza ujuzi wowote basi cheti cha Form four lazima.

So akili kichwani, yaani mzazi unakaa na kusubiri future ya mwanao ambaye yupo shule ya kata iliandaliwe na waziri!

Mwanao akipata zero hata upolisi hawamchukui na huko mtaani ndio kizazi cha singeli hiki, pathetic.

Nimeandika maana nipo uswahilini De es Salaam, nimeona watoto wa kike na kiume wakikaa mtaani wanaishia kupoteza mwelekeo huku mtaani, hakuna mzazi makini wakumpa malezi bora mwanae.
Ujinga plus Ujinga plus Ujinga.

Wakati nasoma nakumbuka Mkuu wa Shule alikuwa amepiga kitabu Urusi, sasa Siku shule inafungwa alikuwa anatuambia kabisa nendeni mkapumzike, walio weka huu mfumo sio wajinga ndio maana hata Mfanyakazi anahitaji likizo akapumzike.

Hizi akili za kijinga tunaziyoa wapi?
 
Wazazi mwanao kama yupo form four, aendelee kusoma na kujisomea, haya matamko ya wanasiasa ni matamko ya kisiasa.

Wewe mwanao yupo shule ya kata, na unajua kuwa ili aweze kupata nafasi ya kwenda hata VETA au kuongeza ujuzi wowote basi cheti cha Form four lazima.

So akili kichwani, yaani mzazi unakaa na kusubiri future ya mwanao ambaye yupo shule ya kata iliandaliwe na waziri!

Mwanao akipata zero hata upolisi hawamchukui na huko mtaani ndio kizazi cha singeli hiki, pathetic.

Nimeandika maana nipo uswahilini De es Salaam, nimeona watoto wa kike na kiume wakikaa mtaani wanaishia kupoteza mwelekeo huku mtaani, hakuna mzazi makini wakumpa malezi bora mwanae.
Alie kuambia akibaki shile ndio atapata A ni nani? Mtoto.kama hana akili hana tu na ka anazo anazo tu,
 
Kuna Watanzania wanapenda sana kulalamika. Wakati walimu wanapambana kuhakikisha watoto wao wanafaulu kwa kuwabakisha wakati wa likizo ili wajisomee! Wao wanalalamika warudi nyumbani.

Halafu wakirudi nyumbani kwenyewe, hawasimamii nidhamu na mienendo yao ya kila siku, likiwemo zoezi la kujisomea, na baada ya likizo, watoto hao hurejea shuleni huku kichwani wakiwa ni empty heads na wakifeli mitihani yao ya mwisho, utawakuta hao wazazi wanaanza tena kuwalalamikia walimu walewale tena, eti kwa kufelisha watoto wao!

Hovyo kabisa. Binafsi naunga mkono shule mbalimbali nchini kubakiza madarasa ya mitihani, ili kujisomea na kujiandaa kwa mitihani yao.
Zile ni Project hakuna cha kusaidia watoto wafaulu, ile ni projects, watoto wanahitaji kupumzika elewa hivyo alie waambia mtoto akisoma kila Dakika ndio atakuwa na akili ni nani?
 
Ahsante mkuu kwa kuleta hii mada. Isitoshe hao watu watoto wao wanasomea shule zenya kutoa au kua na mazingira bora ya kujisomea na kujifunzia.

Wanawadanganya wananchi walio hoi katika ili. Kwanza huyu Waziri na Kamishna ilibidi watumbuliwe
Hivi alie waambia mtoto kubaki shule ndio kufaulu ni nani? Hivi hizi akili tunazitoa wapi? Baada ya hapo muwaanzishie Preform 5, alie waambie ili mtoto afaulu shariti abakie shule kusoma ni nani? Yaani abakie kukaririsshwa past paper? Enzi za kukaririshwa zinaisha watoto wanatakiwa kujua Know how, wanatakiwa kudadidis sio kupata A,
 
Kuwasaidia nini Wazazi?
Mashule yenye utaratibu wa kubaki na wanafunzi wa madarasa ya mitihani waendelee na huo utaratibu
Wakae wakiwakaririsha watoto past paper? Sikiliza nyakati za elimu za kufurahishana zimeisha nyakati za A sijuimDiv 1 hazina tena nafasi Watoto wanatakiwa kuelewa, sio kukaririshwa past paper,
 
Zile ni Project hakuna cha kusaidia watoto wafaulu, ile ni projects, watoto wanahitaji kupumzika elewa hivyo alie waambia mtoto akisoma kila Dakika ndio atakuwa na akili ni nani?
Project ya wapi bhana! Wakati mwingine mnawasingizia tu walimu. Watoto wa siku hizi wengi wao wana mlundikano wa mambo mengi na makubwa kuliko, vichwani mwao.
Huo muda unaotaka warudi nyumbani na kupumzika, wengi huishia kuzurula tu na kufanya mambo ya kipuuzi mitaani.

Hivyo mimi kama mimi; ninaunga mkono shule mbalimbali nchini kuwabakiza wanafunzi wa madarasa ya mitihani mfano Kidato cha 2 na 4, kubakia shuleni ili kujiandaa na mitihani yao ya Taifa kwa makubaliano na wazazi wa hao watoto.
 
Ndio maana ikaitwa likizo, mtoto arudi nyumbani kupumzisha akili, kusaidia wazazi, kujisomea akiwa nyumbani, wazazi wafahamu tabia za mtoto.

Elimu ya darasani sio kila kitu katika makuzi!!
Kabisa, mtoto kama hana akili hana tu kama anazo anazo tu
 
kama Mimi nilisoma saint kayumba na nikafaulu vizuri na Kila likizo nilikua naludi nyumbani sihitaji mtoto wangu abaki shule likizo. Hawa watoto wanaoshinda boarding tutajenga nao bond lini sisi wazazi. tumeweka ufaulu mbele sana. Kuna maisha baada ya A za darasani.
Mkuu kama mtoto hana akili hana tuu hata akihamiwa kuisji kwa Headmaster, na kama anazo anazo tu
 
Mpaka sasa wapo majumbani hao watoto kwa wazazi wanaotoka asubuhi kurudi usiku, mtoto anashinda na beki 3, sijui mtawasimamia muda gani hao watoto. Wakati tunasoma vidato vya mitihani tulibaki shule lakini sasa mnawasikikiza wanasiasa na kuwapangia elimu ya watoto wenu. MUDA UTAONGEA
Kwa hio anatakiwa ashinde na walimu? Hilo ni tatizo lako wewe
 
Sijakataa likizo wasiende bali vidato vya mitihani wabaki.
Wakati unasoma wewe ulienda likizo kwa vidato vya mitihani?? Kma ni ndio basi tunaanza kujenga taifa la vilaza
Kukariri past paper? Sikiliza nyakati za sasa sio hata zile tulizo soma sisi, uko hapo? Sisi tulikuwa tuna meza ila hizi nyakati sio za kumeza kutafuta A
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu na kipembuzi walimu wanataka wanafunzi waende ili wapate MAOKOTO..ingekua ni kwa sababu ya ufaulu wangekua hawatozi fedha wangesema ni bure.
 
Project ya wapi bhana! Wakati mwingine mnawasingizia tu walimu. Watoto wa siku hizi wengi wao wana mlundikano wa mambo mengi na makubwa kuliko, vichwani mwao.
Huo muda unaotaka warudi nyumbani na kupumzika, wengi huishia kuzurula tu na kufanya mambo ya kipuuzi mitaani.

Hivyo mimi kama mimi; ninaunga mkono shule mbalimbali nchini kuwabakiza wanafunzi wa madarasa ya mitihani mfano Kidato cha 2 na 4, kubakia shuleni ili kujiandaa na mitihani yao ya Taifa kwa makubaliano na wazazi wa hao watoto.
Sikiliza Wahindi sio wajinha kuto hata hata ruhusu watoto kukaa Bording, anaye waambia watoto wabatakiwa kusoma muda wote ni nani? Hakuna mambo mengine ya kujifunza nje ya vitabu?

Mkuu sikiliza enzi tulizo soma sio za sasa kwa sasa watoto wanatakiwa kuelwa mambo, kuuliza na kudadisi sio kusolve past paper, hizi nyakati sio hata za miaka ya 90 mkuu.

Tumesoma sisi tukikaririshwa past paper
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu na kipembuzi walimu wanataka wanafunzi waende ili wapate MAOKOTO..ingekua ni kwa sababu ya ufaulu wangekua hawatozi fedha wangesema ni bure.
Hio ndio sababu kuu, hasa baada ya Bordinh za watoto wadogo kufutwa,
 
Back
Top Bottom