BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 4,696
- 10,225
Hii ni tahadhari nawapa, kwa wazazi na wanafunzi kwa ujumla.
Ewe mzazi, usipoteze mamilioni kusomesha mtoto wako kwa uchungu na kwa jasho halafu akarudi nyumbani kukaanga chips na kuendesha bajaji.
Ewe mzazi, usiuze ng'ombe zako, usiuze ardhi yako, usifilisi biashara zako kwa ajili ya kupeleka hela shuleni. Unapoteza muda na fedha nyingi, utashangazwa mwanao atarudi nyumbani na makaratasi matupu akaanze kuendesha bodaboda na kuuza mwili wake kwenye madanguro.
Ewe mwanafunzi, usipoteza muda wako wa miaka zaidi ya ishirini unahangaika kusoma kwa tabu na uchungu mkubwa, utashangazwa. Utarudi mtaani kuwa boda boda.
Ewe mwanafunzi, kama uko shule achana nayo, kimbia haraka kaanze kujihangaikia.
Ewe mwanachuo, achana na habari hizo, ondoka hapo unapoteza muda. Unapoteza fedha nyingi kwenye sifuri.
Changamka. Ubodaboda hauhitaji digrii au cheti cha form four.
Achana na hiyo shule, anza sasa hivi kujifunza bodaboda utanishukuru. Usisubiri mpaka miaka 10 ijayo ukiwa umechoka na umeshapoteza fedha nyingi kwenye hamna.
Wenye masikio na wasikie. Wazazi amkeni. Shule ni ujinga.
Ewe mzazi, usipoteze mamilioni kusomesha mtoto wako kwa uchungu na kwa jasho halafu akarudi nyumbani kukaanga chips na kuendesha bajaji.
Ewe mzazi, usiuze ng'ombe zako, usiuze ardhi yako, usifilisi biashara zako kwa ajili ya kupeleka hela shuleni. Unapoteza muda na fedha nyingi, utashangazwa mwanao atarudi nyumbani na makaratasi matupu akaanze kuendesha bodaboda na kuuza mwili wake kwenye madanguro.
Ewe mwanafunzi, usipoteza muda wako wa miaka zaidi ya ishirini unahangaika kusoma kwa tabu na uchungu mkubwa, utashangazwa. Utarudi mtaani kuwa boda boda.
Ewe mwanafunzi, kama uko shule achana nayo, kimbia haraka kaanze kujihangaikia.
Ewe mwanachuo, achana na habari hizo, ondoka hapo unapoteza muda. Unapoteza fedha nyingi kwenye sifuri.
Changamka. Ubodaboda hauhitaji digrii au cheti cha form four.
Achana na hiyo shule, anza sasa hivi kujifunza bodaboda utanishukuru. Usisubiri mpaka miaka 10 ijayo ukiwa umechoka na umeshapoteza fedha nyingi kwenye hamna.
Wenye masikio na wasikie. Wazazi amkeni. Shule ni ujinga.