Shule ambazo mtoto anaenda asubuhi na anarudi jioni saa 11 ama saa 12 jioni sio nzuri kwa future ya mtoto.
Mtoto anapaswa atoke shuleni mapema. Ili awe na muda wa kujifunza skills za mtaani
Siku ya mtoto haipaswi kuishia kujifunza ya shuleni tu, anapaswa apate muda wa kujifunza extracurricular skills Mtoto acheze mpira na watoto wenzake mtaani nje ya shuleni .,
mtoto apate muda wa kujifunza kuimba iwe kwaya kanisani ya watoto ama kujifunza kupiga vyombo vya muziki kama kinanda, saxophone, drums etc, mtoto apate muda wa kujifunza kuigiza mtaani,
kama kuna waigizaji unaishi nao jirani waombe ama walipe wawafundishe wanao kuigiza mapema.
Mtoto ajifunze kupika, kupamba, kuongea mbele za watu wengi. Hivi vitu vitamsaidia kuliko masomo ya shuleni .
Jiulize why International school of Tanganyika watoto wanatoka saa saba tu mchana?
Jiulize why nchi zilizoendelea shule zao watoto wanatoka shuleni mapema?
UKWELI MCHUNGU ZAMA HIZI MAISHA YAMEBADILIKA SANA. ELIMU HAITAMSAIDIA MTOTO WAKO KWENYE FURSA ZA KIMAISHA KAMA HAJUI VITU KAMA NILIVYOVITAJA NA VINGINE VINGI
Mtoto anapaswa atoke shuleni mapema. Ili awe na muda wa kujifunza skills za mtaani
Siku ya mtoto haipaswi kuishia kujifunza ya shuleni tu, anapaswa apate muda wa kujifunza extracurricular skills Mtoto acheze mpira na watoto wenzake mtaani nje ya shuleni .,
mtoto apate muda wa kujifunza kuimba iwe kwaya kanisani ya watoto ama kujifunza kupiga vyombo vya muziki kama kinanda, saxophone, drums etc, mtoto apate muda wa kujifunza kuigiza mtaani,
kama kuna waigizaji unaishi nao jirani waombe ama walipe wawafundishe wanao kuigiza mapema.
Mtoto ajifunze kupika, kupamba, kuongea mbele za watu wengi. Hivi vitu vitamsaidia kuliko masomo ya shuleni .
Jiulize why International school of Tanganyika watoto wanatoka saa saba tu mchana?
Jiulize why nchi zilizoendelea shule zao watoto wanatoka shuleni mapema?
UKWELI MCHUNGU ZAMA HIZI MAISHA YAMEBADILIKA SANA. ELIMU HAITAMSAIDIA MTOTO WAKO KWENYE FURSA ZA KIMAISHA KAMA HAJUI VITU KAMA NILIVYOVITAJA NA VINGINE VINGI