Igombe fisherman
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 2,027
- 3,565
Ila kwamvua jpm alitisha. Mpaka ziwa nyanza likavuka ukingo. Hata yale madaraja ya enzi za nyelele ya kupaki mameli ilibidi yaongezwe kimoWote hao hawakuwa wacha Mungu
Ni kipindi Cha Magufuli tu Ndipo tulishuhudia neema ya mvua ,na chakula tele na ukame tuliusikia kwa Wenzetu
Magufuli alimpenda Mungu akiona Kuna challenge ya kitaifa aliitisha maombi ya kitaifa na yeye aliongoza laivu kuyashiriki huwezi mlinganisha na Nyerere mkumbatia wakomunisti wasioamini Mungu au ,Mwinyi,
Au Mkapa, Kikwete au Mama Samia. No no no please
Raisi Pekee Tanzania tulipata mjali Mungu na mheshimu Mungu waziwazi kitaifa Ni Magufuli tu hao wengine wote hamna kitu ikifika kwenye maswala ya Mungu kitaifa