Wote hao hawakuwa wacha Mungu

Ni kipindi Cha Magufuli tu Ndipo tulishuhudia neema ya mvua ,na chakula tele na ukame tuliusikia kwa Wenzetu

Magufuli alimpenda Mungu akiona Kuna challenge ya kitaifa aliitisha maombi ya kitaifa na yeye aliongoza laivu kuyashiriki huwezi mlinganisha na Nyerere mkumbatia wakomunisti wasioamini Mungu au ,Mwinyi,
Au Mkapa, Kikwete au Mama Samia. No no no please

Raisi Pekee Tanzania tulipata mjali Mungu na mheshimu Mungu waziwazi kitaifa Ni Magufuli tu hao wengine wote hamna kitu ikifika kwenye maswala ya Mungu kitaifa
Ila kwamvua jpm alitisha. Mpaka ziwa nyanza likavuka ukingo. Hata yale madaraja ya enzi za nyelele ya kupaki mameli ilibidi yaongezwe kimo
 
Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona, ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame, ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja.

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha, ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Watu mnakufuru sana na huyu mtu ambaye alikuwepo miongoni mwenu
 
Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona, ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame, ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja.

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha, ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Sawa mzee wa mito na maziwa chini ya ardhi!
 
Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona, ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame, ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja.

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha, ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Nenda kaishi huko kitovuni chattle
 
Mcha Mungu Magufuli alipokuwa hai hakukuwa na uhaba wa mvua na ukame nchini Kama sasa

Kuondoka tu mcha Mungu Magufuli nchi ukosefu wa mvua kila Kona, ni ukame nchi nzima na tishio la njaa kila kona ya nchi hali ya hewa vipimo vyao vinaona ukame, ukosefu wa mvua na njaa tu inayokuja.

Mwenyewe mcha Mungu angekuwepo haya yasingekuwepo

Serikali badala ya kuitisha maombi wanaenda kuhudhuria mkutano wa Mabadiliko ya Tabia nchi kuomba pesa kwa wazungu kwani pesa zaweza leta mvua msimu huu?

Magufuli angeshaitisha maombi ya kitaifa lakini kwa kuwa alikuwa mcha Mungu, Mungu alihakikisha kipindi chake mvua ipo ya kutosha, ukame haupo na njaa haipo pamoja na yeye kutohudhuria mkutano wowote wa Mabadiliko ya Tabia nchi popote duniani.
Kama utawala wake usingehisisha mateso na vifo Kwa wakosoaji wake, Kura zikahesabiwa bila kuibiwa, Leo hii Taifa lote lingekuwa linaimba wimbo mmoja.
 
Hadi mzige walikuwa wakimuogopa JPM
Sio kwamba walikuwa wanamuogopa... soma maandiko vizuri, .mvua au ukame ilikuwa ni Neema au laana iliyokuwa inaletwa na Mungu kwa jambo fulani. Hata nzige. JPm mvua zilikuwa zinanyesha hata kama utawala wake ulikuwa na matukio probably alikuwa na kibari flani machoni pa Mungu...hawa masikini usifikili Mungu Huwa hawaoni wanavyokandamizwa...mtu akiwatetea, Mungu husikia. Sio coincidence utawala wa JPm ni mvua tu.
 
Back
Top Bottom