mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Kama Wananchi siyo wapumbavu basi Polisi ndio haswa. Hujiulizi iweje wamkamate Mbowe na umaarufu wote huo na kuutangazia Umma kuwa anatuhumiwa ugaidi!!Vurugu zipi? Wananchi wapi unawasemea? Hivi Unafikiri wananchi ni wapumbavu kama wewe? Wananchi wanaona wanaujua ukweli acha kuendekeza njaa zako kujinufaisha kupitia uonevu unyanyasaji uovu mateso ya kishamba kwa chadema