Wazee wa mpira mchafu, sema ni hiyo basi tu ila waitaliano siku zote wana mpira mgumu sana. Hawapaki poda kabisa, Nicolo Barella alikuwa anazunguka kama mwizi hapo katikati ya uwanja. Mpira sometimes kipaji hakitoshi bali maturity ni kitu cha muhimu sana, Fratessi alivyofunga kama ni mwingine anakosa pale.