FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Daah siyo siri barcelona wanaangushwa na nafasi ya kipa na mshambuliaji, na mabeki wanapanda sana hawajui hata kupaki basi yani ukiangalia magoli, karibu yote waliyofunga inter ni ya counter attack na siyo ya kutengeneza nafasi maana wao walipaki basi
 
We Luka
Yule si ndo Yamal sijui Yama heee kumbe washarudi🤣🤣🤣
 

Attachments

  • images-22.jpeg
    images-22.jpeg
    36.5 KB · Views: 11
Barce
Ukuta normally ni Cubarsi, Inigo, Kounde na Balde... Fullbacks za first eleven zote injury...

Tukiingia sokon kama mfuko na sheria zitaruhusu tukusanye nguvu hapo kwanza then mtatuona tena
Barcelona siku zote wanadharau ukuta, sajili nyingi ni viungo na washambuliaji tu.
 
Hii timu bana imeniangusha sana, ila ukiwaona kwenye mechi yao ya kudai uhuru kule, unaweza kudhani wapo serious! ngoja ifike tarehe 11 uone yaani wanacheza mpira mzuri! ukichungulia kabati lao sasa haaa..! kumbe wana Uefa CL 5 tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom