FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Barca hatoboi, San Siri Lamine yamaal anaenda kupigwa pin Moja matata timu nzima inakuwa imekufa, Barca wakiwaga ugenini unaweza sema ni Yanga yaani mpira wa ovyo wanacheza
Na beki gani wa kumpiga pini Yamal?

Hivi jana wakati kina Dimarco wanadhalilishwa na Yamal uliangalia mpira au umesimuliwa baada ya FT?
 
Nawashangaa sana wanaosema Barca kashatoka.

Yani inter leo wameonesha ni kwa kiwango gani hawawezi kuwakaba Barcelona ingawa tuliambiwa wana defence ngumu.

Ukitoa magoli yao ya kona sijaona kama wanaweza kutengeneza nafasi za kueleweka kwa jinsi tulivyowa dominate.
Itakuwa ni game nzuri tuombe kounde asiwe na injury tuu
 
Hayo magoli matatu aliyoyapata kwani yeye ndo wa kwanza kuyapata dhidi ya Barcelona?

Halafu magoli mawili ya kona!

Unafikiri second leg tutafanya uzembe ule wa kushindwa kuzicheza kona.

Timu yenu haina mpira wa kuitisha Barcelona kwa alichofanyiwa leo hata wao watakushangaa ukiona wanatutoa bila wasi.
Mbona una poor reasoning kiasi icho eti magoli ya kona, acha kujiaibisha hapa
 
Mashabiki wa barca bwana 😂😂

Mtu anajitapa ka dominate mchezo, kwani wote si tunajua kwamba inter approach yao ni kukuachia mpira wao utawakuta kwenye counter?

Mtu anakwambia Inter wamefunga magoli ya kona hawana lolote, kwani hamuoni kwamba inter hapo wame exploit weakness ya barca kwenye set pieces?

Mbona mifano ipo mingi sana ya timu zenye mpira wa kihuni ambazo zilizitoa timu zilizokua zinacheza soka safi na ku dominate michezo (Mfano mzuri ni chelsea ya kuungaunga 2012 anawatoa prime barca ya kina messi, xavi, iniesta, busquet ambao walikua ni monsters kuliko hii ya sasa).

Sasa nyinyi endeleeni kujitapa mmecheza vizuri wakati jana kazi yenu ilikua ni kuchomoa tu(mlipigwa kamba ya 4 msisahau) wenzenu wanaangalia weakness zenu ndogondogo wanapiga hapohapo, this is knockout stage bro.
 
Mbona una poor reasoning kiasi icho eti magoli ya kona, acha kujiaibisha hapa
Jamaa yupo too emotional kiasi kwamba unaweza kudhani kaanza kufatilia uefa msimu huu na hajui namna haya mashindano yalivyojaa ukatili.

Mtu anakwambia Inter hawana lolote sababu wametegemea kona, kwani kona si ni sehemu ya tactics za timu?

Timu imeingia na lengo la kwenda kutumia weakness yako kwenye set pieces na ikakutoboa bado unawabeza kana kwamba ni magoli ya kupewa.

Timu zimebeba hili kombe kwa magoli ya penati ije kuwa kona?
 
Barca mwenzangu huyo ila yeye Moja kwa moja anadhani Mimi ni mpinzani.
Shabiki oya oya wa Barca.

Hata kuja jukwaani kuijadili timu yetu na kuleta updates huji.

Unachosubiria wewe timu ipate suluhu uje useme safari imewadia tunatolewa na Inter hatuwawezi halafu unasema mimi shabiki wa Barca!
 
Barca mwenzangu huyo ila yeye Moja kwa moja anadhani Mimi ni mpinzani.
Sababu tu umeongea kitu ambacho hapendi kusikia.

Kuwa shabiki wa timu fulani hakukuzuii kukubali kwamba timu yangu ina weakness hizi, weakness ambazo zinaweza kutugharimu.

Nimeona anavyokujibu unapojaribu kuweka facts inaonyesha hataki kabisa kukubali kwamba barca hana uhakika wa kupita kama anavyotaka kuamini.
 
Jamaa yupo too emotional kiasi kwamba unaweza kudhani kaanza kufatilia uefa msimu huu na hajui namna haya mashindano yalivyojaa ukatili.

Mtu anakwambia Inter hawana lolote sababu wametegemea kona, kwani kona si ni sehemu ya tactics za timu?

Timu imeingia na lengo la kwenda kutumia weakness yako kwenye set pieces na ikakutoboa bado unawabeza kana kwamba ni magoli ya kupewa.

Timu zimebeba hili kombe kwa magoli ya penati ije kuwa kona?
Sawa Inter atatutoa hatuna uwezo wa kuifunga.
 
Sababu tu umeongea kitu ambacho hapendi kusikia.

Kuwa shabiki wa timu fulani hakukuzuii kukubali kwamba timu yangu ina weakness hizi, weakness ambazo zinaweza kutugharimu.

Nimeona anavyokujibu unapojaribu kuweka facts inaonyesha hataki kabisa kukubali kwamba barca hana uhakika wa kupita kama anavyotaka kuamini.
Ni kweli hatuna uhakika wa kupita nilikuwa nazingua tu.

Inter anatutoa 100% Barcelona hii haina uwezo wa kuitoa Inter.

Inter ni timu ngumu sana kwa Barcelona.
 
Ni kweli hatuna uhakika wa kupita nilikuwa nazingua tu.

Inter anatutoa 100% Barcelona hii haina uwezo wa kuitoa Inter.

Inter ni timu ngumu sana kwa Barcelona.
Ni rahisi sana kuifunga goli barca kuliko timu zingine zilizobaki UEFA , ukifika tu golini imo
 
Ni rahisi sana kuifunga goli barca kuliko timu zingine zilizobaki UEFA , ukifika tu golini imo
Lakini pia Barca ndiyo timu inayoongoza kufunga goli nyingi kwenye mashindano haya.

Unabisha?

Ukijua kupoint weakness za Barca jua na ku point strength zake.
 
Mashabiki wa barca bwana 😂😂

Mtu anajitapa ka dominate mchezo, kwani wote si tunajua kwamba inter approach yao ni kukuachia mpira wao utawakuta kwenye counter?

Mtu anakwambia Inter wamefunga magoli ya kona hawana lolote, kwani hamuoni kwamba inter hapo wame exploit weakness ya barca kwenye set pieces?

Mbona mifano ipo mingi sana ya timu zenye mpira wa kihuni ambazo zilizitoa timu zilizokua zinacheza soka safi na ku dominate michezo (Mfano mzuri ni chelsea ya kuungaunga 2012 anawatoa prime barca ya kina messi, xavi, iniesta, busquet ambao walikua ni monsters kuliko hii ya sasa).

Sasa nyinyi endeleeni kujitapa mmecheza vizuri wakati jana kazi yenu ilikua ni kuchomoa tu(mlipigwa kamba ya 4 msisahau) wenzenu wanaangalia weakness zenu ndogondogo wanapiga hapohapo, this is knockout stage bro.
Mashabiki wa RMA wamehamia Inter sasa tunakuja kuwakanda San Siro

Then mtahamia PSG tunawakanda tena

Mamaé round hii mtateseka sana

Na bado tukikutana tena tunawakanda
 
Sababu tu umeongea kitu ambacho hapendi kusikia.

Kuwa shabiki wa timu fulani hakukuzuii kukubali kwamba timu yangu ina weakness hizi, weakness ambazo zinaweza kutugharimu.

Nimeona anavyokujibu unapojaribu kuweka facts inaonyesha hataki kabisa kukubali kwamba barca hana uhakika wa kupita kama anavyotaka kuamini.
Mzani wa Magoli ya kufunga na kufungwa hayatakiwi kukalibina kiasi Cha mzani kuwa level hasa ktk mguu wa kwanza...Jana Nina uhakika Hans hajafurahishwa kulazimishwa sare na Inter hasa akiwa nyumbani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom