henry frank
Senior Member
- Dec 16, 2015
- 127
- 114
kumbe laliga ni mdrid tuuItaly timu zote jumla wana UefaCL 12,
England timu zote jumla UefaCL 15,
Spain timu mbili tu wamechukua UefaCL 20.
kumbe laliga ni mdrid tuuItaly timu zote jumla wana UefaCL 12,
England timu zote jumla UefaCL 15,
Spain timu mbili tu wamechukua UefaCL 20.
Sisi tunashabikia klabu hatushabikii ligi.Kuna uwezekano mkubwa wa makombe matatu kuenda spain UEFA-barca,EUR0PA-athletic club,EUROPA.C-real betis anaweza kufanya hivyo maana yupo kwenye wakati mzuri
Nimetoa mtazamo sijamaanisha hivyoSisi tunashabikia klabu hatushabikii ligi.
Wewe nishabiki wa team gani?Mashabiki wa Barca ni kama mmechangangikiwa ivi!ni kama hamkutegemea mlichokutana nacho jana au??!
Sasa kama balde,kounde,lewandowsk wameumia unataka na hawa wengne waendelee kuumiaHansi flick ni kocha kichaa to ever exist in football history, yaani mpaka sasa anatamaa na kushinda champions league. Hiki kikosi gani hiki leo
kwahiyo wewe na hizo akili zako unaiona hii barca ikiwin Champions League?... muhimu ni kuwin la liga kwanza, it could be better kama rotation ingefanyika ikiwa kuna 9+ points kwenye title race. au unadhani game ya tar 11 itkuwa rahisi, pia kuna mfupa mgumu wa villarreal na athletic bilbao na tofauti ni 4 points onlySasa kama balde,kounde,lewandowsk wameumia unataka na hawa wengne waendelee kuumia
champions ligi bado game ngapi kubeba ndoo --- na ligi bado game ngapi kubeba ndoo?kwahiyo wewe na hizo akili zako unaiona hii barca ikiwin Champions League?... muhimu ni kuwin la liga kwanza, it could be better kama rotation ingefanyika ikiwa kuna 9+ points kwenye title race. au unadhani game ya tar 11 itkuwa rahisi, pia kuna mfupa mgumu wa villarreal na athletic bilbao na tofauti ni 4 points only
Game ya madrid umeitoa kweny game ngum kebokokwahiyo wewe na hizo akili zako unaiona hii barca ikiwin Champions League?... muhimu ni kuwin la liga kwanza, it could be better kama rotation ingefanyika ikiwa kuna 9+ points kwenye title race. au unadhani game ya tar 11 itkuwa rahisi, pia kuna mfupa mgumu wa villarreal na athletic bilbao na tofauti ni 4 points only
we umelogwa eeh!, kubeba ndoo!? Hivi unaujuwa ubingwa wa champions league au unajiachia tu na hivyo vidole vyako kwenye keyboardchampions ligi bado game ngapi kubeba ndoo --- na ligi bado game ngapi kubeba ndoo?
swali halijibiki? au hujaelewa lugha?we umelogwa eeh!, kubeba ndoo!? Hivi unaujuwa ubingwa wa champions league au unajiachia tu na hivyo vidole vyako kwenye keyboard
nilivyoandika "game ya tarehe 11" haukubahatika kuelewa nazungumzia game gani?Game ya madrid umeitoa kweny game ngum keboko
swali lako halipo realistic kwa ulimwengu wa sokaswali halijibiki? au hujaelewa lugha?
jibu linapatikana au lah mkuu?swali lako halipo realistic kwa ulimwengu wa soka
Weka mechi zote kumi na tatu.Binafsi nina matarajio madogo sana ya Barcelona kuvuka hapa
View attachment 3322384
Mbona kawaida kileMashabiki wa Barca ni kama mmechangangikiwa ivi!ni kama hamkutegemea mlichokutana nacho jana au??!