FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Oya nilishikdwa kuvumilia tulivyopigwa bao la 3

Nashangaa saizi nakutana na notification
Screenshot_20250507-093137.png
 
Nilipokua nawaambia watu humu ndani, mara wanipe kejeli, mara wapovukwe, niliamua kuwa kimyaa,
Leo nna uwezo wa kulipa mashambulizi na nina mudu kabisaa,

Lakini nawaacha wao waugulie pole pole maumivu ya kufurushwaaa.
😂😂😂😂😂😂
Unakagua risiti 😃 😄 😄 😄 😄
 
Unakagua risiti 😃 😄 😄 😄 😄
😂😂😂😂 mashabiki wa Barca tangu jana ucku, hawataki kuona text wala call zangu,

Huku site hata hawana amani, wanahisi ntawachachukia, kumbe hata wazo cna, niko buzzy na mambo yangu.
Ila kunae huyu m1 alivuka mipaka, nasubiri baadae nimsuuze vyedii, tuheshimiane.

😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂 mashabiki wa Barca tangu jana ucku, hawataki kuona text wala call zangu,

Huku site hata hawana amani, wanahisi ntawachachukia, kumbe hata wazo cna, niko buzzy na mambo yangu.
Ila kunae huyu m1 alivuka mipaka, nasubiri baadae nimsuuze vyedii, tuheshimiane.

😂😂😂😂😂
😀😃😃😃😃😄😄😄😄
 
Mashabiki wa Barca, amkeni mkapigwe na jua huko, mnalala mna raha gani? Woiiiih
😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom