cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,289
- 187,941
😂😂😂😂😂Mzee acha utani.
Timu kama inter kukutangulia goli mbili na kuchomoa sio mchezo.
Ukiangalia goli zao mbili ni kushindwa vzuri kuicheza mipira ya kona.
Kinyume na hapo hawana cha maana wanachocheza.
Mpira kila mtu kauona.