Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 10,603
- 14,849
timu kila ikitolewa aggregate zinahuzunisha mkuuYamal bado tupo nae sana.
Kama unamchukia we jipange kisaikolojia tu.
timu kila ikitolewa aggregate zinahuzunisha mkuuYamal bado tupo nae sana.
Kama unamchukia we jipange kisaikolojia tu.
Cheni ya saidi😁😁Kweli mdau .nilikuwa sina Amani .si Kwa bia zile nilizokuwa nakunywa mara nukasikia goal . equaliser kmmke hapa ndo nikajua kwanini Samia alikataa cheni ya saidi😁😁😁
Lala Tena mkuuNimeota barca katolewa ni kweli ?
Sawaaa tupo na nyie tarehe 11Paper lilikuwa Halina maswali ya kuchagua
Sio Real Tu Hadi kule Germany wamefurahi mana madogo mnajionaSawaaa tupo na nyie tarehe 11
Maana mashabiki wa madrid mmefurahi mno😃
Afadhali nikojoe nilale hao catalonia wana kamdomo sana.Lala Tena mkuu
Tukutane msimu ujaoSio Real Tu Hadi kule Germany wamefurahi mana madogo mnajiona
Hakuna nomaTukutane msimu ujao
Ni sahihi😀😀Nimeota barca katolewa ni kweli ?
Barca Haina ukuta.Tukutane msimu ujao
Ukuta normally ni Cubarsi, Inigo, Kounde na Balde... Fullbacks za first eleven zote injury...Barca Haina ukuta.
Pole sana Barcelona SC Fan, yote maumivu yatapita.-Timu beki mbovu.
-Golikipa aliyepo pia mbovu
-Madogo wengi ktk timu ni talented ila no maturity.
-Hii game ilishaisha Toka mechi ya kwanza ya Jana ilikuwa ni kukamilisha ratiba tu.
Fainali: Inter Milan v/s PSG and winner is PSG ( save this comment)
Arsenal atabeba mkuu-Timu beki mbovu.
-Golikipa aliyepo pia mbovu
-Madogo wengi ktk timu ni talented ila no maturity.
-Hii game ilishaisha Toka mechi ya kwanza ya Jana ilikuwa ni kukamilisha ratiba tu.
Fainali: Inter Milan v/s PSG and winner is PSG ( save this comment)