FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mimi binafsi naomba Spurs washinde-Hawa Ajax naona wanaweza tibua ndoto ya Barca

Hahahaa naamini kabisa Ajax atapita, japo Spurs nao sio wa kubeza...

Kuhusu kutibua ndoto ya Barca, hiyo haipo...tutawadhibiti vizuri sana, hivyo don't worry!😊
 
#Forca_Barca
We are here ,we are ....
Camp Nou machinjioni ,tuna sacrifice kila kiumbe kinachofika hapa ...najua Salah ,Sadio Mane ,Vin Dyk yanagonga chupi
Hapa hamna mkuyati ila.watoto wanaloana tu kwa kuchezea koki



Get ready, stay focused

We colour the football,To the Glory .....Europe

Nakuaminia kamanda wangu, huwa nakukubali sana, sio mtu wa kukata tamaa....
 
Namshukuru sana Messi,jana nilibet laki 2 Barcelona anashinda,faida elfu 82 si ndogo
Barca alikua na odds ya 1.91 1xbet

Sijui wew ulibet kampuni gani kwa laki mbili ikaleta hyo faida ya 82 elf
 
Kwangu Mimi Arturo Vidal ndiye Man of the Match. Ametimiza majukumu yake ipasavyo. Vidal aliletwa Barcelona purposely kwa Mechi kama hizi. Last season tumetolewa na Roma ni kwa sababu alikosekana Mtu kama yeye.
Kocha ameplan vizuri kumuacha Arthur Melo kwa sababu Dogo Bado hawezi fitna na roho mbaya.
Vidal anahitajika Sana next game pale England kukamilisha Kazi yake
Vidal ni mwenyekiti wa roho mbaya pale..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom