kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
Kweli kabisa dada anguIla barca jaman kumbe beki yake ni kama ya man u.mbna imechoka ivo.
Kweli kabisa dada anguIla barca jaman kumbe beki yake ni kama ya man u.mbna imechoka ivo.
Magazeti ya KIU ya shigongo yanawadanganyaHizi timu za EPL bado sana kwa hawa machalii wa Spain, huyo aliepigwa hizo 3 ndio wanamjaza kwamba ndio timu bora Ulaya kwa sasa
Mkuu usimynd sana hayo magoli atayarudisha tukienda kufanya mazoezi pale AnfieldDembele what have you done?Dogo anazingua goli la wazi daaah
Sijafurahishwa na ushindi wa goli 3 naomba nilale ,zilitakiwa ziwe goli 4
Hahah! Yanafanya Sungura ajihisi ni TemboMagazeti ya KIU ya shigongo yanawadanganya
Ila barca jaman kumbe beki yake ni kama ya man u.mbna imechoka ivo.
Dunia sio kijiji tena bali ni familia, hakika anazoPenaldo habari hizi anazo kweli
jamaa anatangazia BEIN SPORTSHuyu Ray Hudson yuko wapi mbona siipati channel yake
Seriously Ajax ndio watakaotibua sherehe yetu. Itakuwa kazi ngumu sana kuwaangusha kizembe.NILISEMA NA NINARUDIA,TATIZO LETU NI AJAX
Embu jiamini we ni shabiki manyoya ao nini? Wale ni watoto sana watakaa tuSeriously Ajax ndio watakaotibua sherehe yetu. Itakuwa kazi ngumu sana kuwaangusha kizembe.
Nadhani ni muda sasa nianze kutumia kipaji changu cha utabiri kupiga pesa!Right flank haifanyi kazi, na naona kama Roberto anasumbuliwa sana na Mane kwenye spidi. Nadhani ni muda wa kumleta Semedo.
Coutinho is doing a good job, na Vidal naona anakata umeme kwa fujo.
Hawa jamaa wanavyomkaba messi watano watano, wanawaacha Coutinho na Suarez wanakimbia free, hakika watajutia.
Tukitulia, kuna mawili mengine tunaenda zetu kulala!





Nimeshangaa sana aisee..kuna jamaa anasema vidal hafanyi kitu uwanjani,unajiuliza huyu anajua mpira kweli??Unakuta mtu anauliza eti Vidal anafanya nini uwanjani? Nigga, do you even have an idea of what football is?
Kama hujaona efforts za hili south American beast, i suggest you stick to fashion magazines. Football is not for every one!
Ameanza kuangalia mpira mei mosi ya leo huyooNimeshangaa sana aisee..kuna jamaa anasema vidal hafanyi kitu uwanjani,unajiuliza huyu anajua mpira kweli??
Huyu ambae hajui kazi ya Vidal ni nan ,,,, mwambien akamuulize Sadio Mane alivopanick ,,,,,, tena vidal tunamuhitaj dk 90 game ijayoUnakuta mtu anauliza eti Vidal anafanya nini uwanjani? Nigga, do you even have an idea of what football is?
Kama hujaona efforts za hili south American beast, i suggest you stick to fashion magazines. Football is not for every one!