A man with no name
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 1,131
- 1,598
Pita tuu mkuu maana najua hizi habari siyo njema kwakoDuh napita tu![]()
Pita tuu mkuu maana najua hizi habari siyo njema kwakoDuh napita tu![]()
Pita tuu mkuu maana najua hizi habari siyo njema kwako
Najua mkuu ulitamani tulale na viatu jana usiku ila Mungu akawa upande wetu tukalala hata bila soskiKwanini mkuu?
Najua mkuu ulitamani tulale na viatu jana usiku ila Mungu akawa upande wetu tukalala hata bila soski
Kumbe nikajua wewe ni looserpool Mama but bora maana Mess kawanyamazisha waingereza woteMie man u ntawaombeaje mlale na viatu itanifaidisha nini sasa
Hilo jukwaa aliokaa Guadiola naona kama la kawaidaKiaje mkuu?
Hapo sawaKajichanganya tu na watu ndugu na marafiki..hajaenda kukaa VIP
Rudi kwenu 😀Duh napita tu![]()
Right flank haifanyi kazi, na naona kama Roberto anasumbuliwa sana na Mane kwenye spidi. Nadhani ni muda wa kumleta Semedo.
Coutinho is doing a good job, na Vidal naona anakata umeme kwa fujo.
Hawa jamaa wanavyomkaba messi watano watano, wanawaacha Coutinho na Suarez wanakimbia free, hakika watajutia.
Tukitulia, kuna mawili mengine tunaenda zetu kulala!
With all due respect
Board ya Barca tunaomba tuibebe celta Virgo ambao wako kwenye danger zone kwa muda mrefu ....
Messi,Busquets, Pique,Suarez,Coutinho,Vidal,Semedo ,S Roberto,Ter Stergen na Jordi Alba tunaomba hata wasisafiri kwenda kucheza na celta Virgo, jumamosi
Thanks
Yeah mtaalamu,siku hizi umepotea kidogohahahaha Watufunge hata moja bila wabakie katika La Liga
Yeah mtaalamu,siku hizi umepotea kidogo
Tushazoea maajabu yake hadi inabidi tukae tu kimya sasaTupo kaka, Very happy with the results, La Pulga and exceptional freekick. Visca el Barcaa