FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kwangu Mimi Arturo Vidal ndiye Man of the Match. Ametimiza majukumu yake ipasavyo. Vidal aliletwa Barcelona purposely kwa Mechi kama hizi. Last season tumetolewa na Roma ni kwa sababu alikosekana Mtu kama yeye.
Kocha ameplan vizuri kumuacha Arthur Melo kwa sababu Dogo Bado hawezi fitna na roho mbaya.
Vidal anahitajika Sana next game pale England kukamilisha Kazi yake
Unakuta mtu anauliza eti Vidal anafanya nini uwanjani? Nigga, do you even have an idea of what football is?

Kama hujaona efforts za hili south American beast, i suggest you stick to fashion magazines. Football is not for every one!
 
Unakuta mtu anauliza eti Vidal anafanya nini uwanjani? Nigga, do you even have an idea of what football is?

Kama hujaona efforts za hili south American beast, i suggest you stick to fashion magazines. Football is not for every one!
I saw it coming ?match ya Leo nilijua ataanzishwa tu
A beast ,machine gun ,he was so good in aerial duels,defence ,passing ,tackling and one against one
 
Right flank haifanyi kazi, na naona kama Roberto anasumbuliwa sana na Mane kwenye spidi. Nadhani ni muda wa kumleta Semedo.

Coutinho is doing a good job, na Vidal naona anakata umeme kwa fujo.

Hawa jamaa wanavyomkaba messi watano watano, wanawaacha Coutinho na Suarez wanakimbia free, hakika watajutia.

Tukitulia, kuna mawili mengine tunaenda zetu kulala!
Nadhani saa hizi wanaotabu kunywa chai
 
Kwani Guadiola anavyowaambiaga Messi hakabiki wanajua anatania?
Alikuwepo uwanjani jana
IMG_20190502_044207_155.jpeg
 
Kuna mtu alikua anashangilia eti possession Liverpool anaongoza

Nikamuambia yule ndie master Velverde, kuhusu possession sahau sio kigezo sana kwake ,he is so concerned about accuracy na ndio maana hatupigi mashuti golini kwa adui ovyo ,inatakiwa ukipiga goli...no wastage


Salamu ziwaendee Anfield tunakuja kucheza kama match ya kwanza tulipoteza
The same first eleven ila Semedo ataanza
 
With all due respect
Board ya Barca tunaomba tuibebe celta Virgo ambao wako kwenye danger zone kwa muda mrefu ....

Messi,Busquets, Pique,Suarez,Coutinho,Vidal,Semedo ,S Roberto,Ter Stergen na Jordi Alba tunaomba hata wasisafiri kwenda kucheza na celta Virgo, jumamosi

Thanks
 
Real Betis alituzidi ball possession, akalazwa 3 kwa moja, nadhani alosahau
Kuna mtu alikua anashangilia eti possession Liverpool anaongoza

Nikamuambia yule ndie master Velverde, kuhusu possession sahau sio kigezo sana kwake ,he is so concerned about accuracy na ndio maana hatupigi mashuti golini kwa adui ovyo ,inatakiwa ukipiga goli...no wastage


Salamu ziwaendee Anfield tunakuja kucheza kama match ya kwanza tulipoteza
The same first eleven ila Semedo ataanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom