Kawafunge kina fulham, cardif, manyua ndio size yakoKwaio nyie ni mashoga
Wewe nae-mpira umeanza angalia lini?hao clinical finishers wako ni kwa ajili ya EPL-sio kwa defence la BarcaAnaepindua ndoto ya barca ni liverpool
Ni kiazi tu [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Wapi Yule beki bora EPL?
Waingereza wanapenda sana kukaza sifa vitu vya kwao. Ona sasaNi kiazi tu [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Unaweza ukawa unaonekana bora kumbe uko darasa la wabovu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mziki utaanza kuujua pale utakapo kutana na ma genius.Hizi timu za EPL bado sana kwa hawa machalii wa Spain, huyo aliepigwa hizo 3 ndio wanamjaza kwamba ndio timu bora Ulaya kwa sasa
Hahah! Hakika mkuu sasa tunaona ubora kumbe ni kwakina Leicester city na wenzake 😂😂Unaweza ukawa unaonekana bora kumbe uko darasa la wabovu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mziki utaanza kuujua pale utakapo kutana na ma genius.
Asante mkuuHongereni sana
Matokeo vp?Nasema tena mpigwe tu nyie mambwa hamna lolote nawachukia ..mpigwe mana hamna lolote