Naona hata game ya leo hakuwepo.
Naona hata game ya leo hakuwepo.
Bado kuanzia kesho ndio anatarajia kuja Cataluna kwa medical test na process nyingine zilizobaki.Naona hata game ya leo hakuwepo.
Dili la Rodri nalipa 20% sitaki kujipa matarajio makubwaBado kuanzia kesho ndio anatarajia kuja Cataluna kwa medical test na process nyingine zilizobaki.
Muhimu tumeshamchukua.
Sipati picha comb ya Rodri na Pedri.
Ni confirmed.Dili la Rodri nalipa 20% sitaki kujipa matarajio makubwa
Huyo suarez hakuna kazi bora tukomae na AbdelkarimBaada ya deal la Rodri na Cancelo kukamilika sasa tunaamia kwa Alvarez na Luis Suarez.
Mmoja wapo lazima tumchukue kabla hatujafunga usajili.
Ila naona kama kuna chance ya kumpata Alvarez.Huyo suarez hakuna kazi bora tukomae na Abdelkarim
Wale maboya wanaringa sana waachane nae tutamchukua bure mwakani...sioni kabisa uwezekano wa wao kumuacha.Ila naona kama kuna chance ya kumpata Alvarez.
Abdelkarim sio mbaya.
Daah wanakaza kinyama.Wale maboya wanaringa sana waachane nae tutamchukua bure mwakani...sioni kabisa uwezekano wa wao kumuacha.
Hapo changamoto ni namba 9 tu Mkuu. Ila upande wa wings naona bado kutabaki pa moto.Bado kuanzia kesho ndio anatarajia kuja Cataluna kwa medical test na process nyingine zilizobaki.
Muhimu tumeshamchukua.
Sipati picha comb ya Rodri na Pedri.
Suarez si atakuwa umri umeenda sana Mkuu? Maana yule ni mkubwa rika la Messi lile.Baada ya deal la Rodri na Cancelo kukamilika sasa tunaamia kwa Alvarez na Luis Suarez.
Mmoja wapo lazima tumchukue kabla hatujafunga usajili.
Yeah 9 changamoto.Hapo changamoto ni namba 9 tu Mkuu. Ila upande wa wings naona bado kutabaki pa moto.
Nop.Suarez si atakuwa umri umeenda sana Mkuu? Maana yule ni mkubwa rika la Messi lile.
Hapo changamoto ni namba 9 tu Mkuu. Ila upande wa wings naona bado kutabaki pa moto.
Hizi tetesinza Gyokeres kutakiwa na Barca nyie mwazichukuliaje?? Binafsi I glad if they'll pull this moveNop.
Ni Suarez wa Colombia sio yule unayemjua wewe.
Anakipiga Sporting CP.
Ana kama miaka 28 hivi.
Sio mbaya kama tutamkosa Alvarez hata huyo atatusaidia.Hizi tetesinza Gyokeres kutakiwa na Barca nyie mwazichukuliaje?? Binafsi I glad if they'll pull this move
Yule Alvarez ana moto sana. Tunataka watu wapambanaji kama wale.Sio mbaya kama tutamkosa Alvarez hata huyo atatusaidia.
Gyokeres sio mbaya.