FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Nasema tena mpigwe tu nyie mambwa hamna lolote nawachukia ..mpigwe mana hamna lolote
 
Right flank haifanyi kazi, na naona kama Roberto anasumbuliwa sana na Mane kwenye spidi. Nadhani ni muda wa kumleta Semedo.

Coutinho is doing a good job, na Vidal naona anakata umeme kwa fujo.

Hawa jamaa wanavyomkaba messi watano watano, wanawaacha Coutinho na Suarez wanakimbia free, hakika watajutia.

Tukitulia, kuna mawili mengine tunaenda zetu kulala!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom