Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
hoja gani unayotaka ajenge akashindwa?
ama mnakuwa influenced na yaleyale eti ni mfichua maovu mkasahau kwamba hiyo ni kazi ya chama chochote cha upinzan.
niambie kwanza quantity of measurement kwa mtu anayeweza kumudu kudahalika na Slaa ni ipi??
who has said Slaa is the best among all?
hivi mnamuweka wapi Prof. Lipumba tukisema tuangalie mtu ambaye kweli ni presidential material?

Lipilumba kafikaje hapa? topic ni Lowasa vs Slaa
 
hoja gani unayotaka ajenge akashindwa?
ama mnakuwa influenced na yaleyale eti ni mfichua maovu mkasahau kwamba hiyo ni kazi ya chama chochote cha upinzan.
niambie kwanza quantity of measurement kwa mtu anayeweza kumudu kudahalika na Slaa ni ipi??
who has said Slaa is the best among all?
hivi mnamuweka wapi Prof. Lipumba tukisema tuangalie mtu ambaye kweli ni presidential material?

Na ndio maana kuna kigugumizi ku nominate mgombea urais. . . . .what i see ni mapenzi kuzidi uhalisia. . .
 
Naona mnaanza kujifariji, Too late, safari ya matumaini ndio imeshaanza hivyo!!
View attachment 255872

Haushangai kuona njano na kijani ni ndogo na hata ukiangalia unaona nyekundu inatawala?

Pia kama ifuatilia vizuri kwa hakili ya kawaida tu bila kuambiwa waliokuwa wanaitikia au kushangilia huoni hata theluthi ya waliokuwepo hapo hawakufika?

Kwa taarifa yako watu walikuja kupiga hela tu na si Vingine kama huamini Subiri October halaf nitafute....
 
Watanzania hatutaki porojo za nani mwenye uwezo wa kucheza na akili za watu kwa maneno au uongeaji. Tunataka viongozi wenye kufanya matendo basi maneno yanatusaidia nini? Si slaa wala Lowasa anafaa kuwa Raisi wote mafisadi tu
 
Hakuna anayezaliwa akiwa fisadi, kwahiyo tunaposema ccm ni mafisadi na kudhamilia kuwatowa basi tuwe makini na hao tuwatakao kuwaweka,maana naona tumekazana kujadili uchafu wa ccm na kuelezana ni vp hawatufai lakini sioni tukielezana tunahitaji kiongozi wa sifa zipi na ni nani huyo kiongozi mwenye sifa hizo.
 
Hakuna anayezaliwa akiwa fisadi, kwahiyo tunaposema ccm ni mafisadi na kudhamilia kuwatowa basi tuwe makini na hao tuwatakao kuwaweka,maana naona tumekazana kujadili uchafu wa ccm na kuelezana ni vp hawatufai lakini sioni tukielezana tunahitaji kiongozi wa sifa zipi na ni nani huyo kiongozi mwenye sifa hizo.

Ebu watuweke wazi ni nani aliye msafi!
 
ivi sis tumekuwa brain washed na nini?
ivi inamaana mtu kumudu mdahalo na Dr slaa baasi ana qualify kuwa rais?
tunatumia sayansi gani kujua kwamba kipimo sahihi ni mtu kuweza kucompete na Slaa
aina hiyo ya measurement imekuwa quantified vipi na wapi?

je nani aliyemfanya Slaa kuwa benchmark??

na je quantity of measurements zikoje ama utatuambia ni slaa/m[SUP]2[/SUP] /sec??
Salary Slip leo brodah hebu rudi upya useme unataka kusema nini na sio kwa mada kama hii, najua wewe u mzuri zaid ya hivi na uwezo wako ni mkubwa kuliko hivi.
Jibu rahisi ni kwamba,ukishindwa kumudu midahalo ni kushindwa uchaguzi moja kwa moja.

Kushindwa katika midahalo ni sawa na kufeli interview ya kutafuta ajira na ndio maana hata CCM mwaka 2010 waligoma kushiriki midahalo.

Midahalo ina impact kubwa sana kwa wapiga kura hasa wenye kujua thamani ya kura zao na kwa wale waio na ushabiki wa vyama.
 
Last edited by a moderator:
ivi sis tumekuwa brain washed na nini?
ivi inamaana mtu kumudu mdahalo na Dr slaa baasi ana qualify kuwa rais?
tunatumia sayansi gani kujua kwamba kipimo sahihi ni mtu kuweza kucompete na Slaa
aina hiyo ya measurement imekuwa quantified vipi na wapi?

je nani aliyemfanya Slaa kuwa benchmark??

na je quantity of measurements zikoje ama utatuambia ni slaa/m[SUP]2[/SUP] /sec??
Salary Slip leo brodah hebu rudi upya useme unataka kusema nini na sio kwa mada kama hii, najua wewe u mzuri zaid ya hivi na uwezo wako ni mkubwa kuliko hivi.

dada sijuwi kama hata unafuatilia siasa za dunia kwa sasa.mtu anayetaka uongozi lazima asimame mbele ya watu ajenge hoja,aeleze mikakati yake,asiwe na kashfa,asiwe na maadili yanayotia shaka.akitueleza tuamini kwamba huyu atatuvusha.tumeona mambo haya nchi nyingi tu..Britain ,marekani hata hapa Kenya wana utaratibu huo lazima wagombea washindane kwa hoja.sasa sielewi nyie ambao hamtaki mna malengo gani after all mtoa mada ameuliza Kama swali ni jukumu letu kuchambuwa je Lowasa kwa uwezoaliounesha jana ataweza kweli kudibate na Dr.slaa? Tafakari mara mbili.na uweke maslahi ya taifa mbele.
 
Jamani hivi kwanini wagombea wa urais nchi hii hasa wa ccm hawataki kufanya debate na wenzio wa vyama vingine?huu ni idhaifu mkubwa sana.tunapata viongozi wabovu ambao tungeweza kuwachuja sisi wenyewe wananchi kwa hoja zao.hiihaikubaliki Tanzania mwaka huu lazima atuambie wakae wajadili waulizwe maswali wajibu turidhike.
 
Lowassa hahitaji mdahalo na mtu yoyote ili ashinde, midahalo ni kwa ajili ya wagombea wengine!
 
Jamani hivi kwanini wagombea wa urais nchi hii hasa wa ccm hawataki kufanya debate na wenzio wa vyama vingine?huu ni idhaifu mkubwa sana.tunapata viongozi wabovu ambao tungeweza kuwachuja sisi wenyewe wananchi kwa hoja zao.hiihaikubaliki Tanzania mwaka huu lazima atuambie wakae wajadili waulizwe maswali wajibu turidhike.

1. Midahalo ni culture ambayo hata kwenye vyama hakuna. . . . .chama gani kinafanya midahalo kwenye chaguzi za ndani??!!!
2. Viongozi wa sasa wa vyama vyote ni lini na wapi walipata hizo nafasi baada ya midahalo??!!

Kama mnataka mabadiliko basi tuanze na system zite za kupata wawakilishi. . . . .

Midahalo ni best method yes, lakini katika methodology ipi? ?!!
Umuhimu wake ni kwenye Urais tu??!!!
Wabunge huwaoni huko bungeni tena wa vyama vyote? ?!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom