ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,675
hoja gani unayotaka ajenge akashindwa?
ama mnakuwa influenced na yaleyale eti ni mfichua maovu mkasahau kwamba hiyo ni kazi ya chama chochote cha upinzan.
niambie kwanza quantity of measurement kwa mtu anayeweza kumudu kudahalika na Slaa ni ipi??
who has said Slaa is the best among all?
hivi mnamuweka wapi Prof. Lipumba tukisema tuangalie mtu ambaye kweli ni presidential material?
Lipilumba kafikaje hapa? topic ni Lowasa vs Slaa