Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
lowasa ataongea nn...hata yale aliyoongea jana inaonesha kabisa alikaririshwa.sijui ni mtu gan uyu
KUB..alshasema lowesa ni bubu hajielew yupoyupo tu.sasa ndio anautaka Urais?
 
Thubutuu mtu kujieleza tu yeye mwenyewe ni shughuli.tumejionea vituko leo pale sheikh amri abeid.

Nyi si mmezoea speech za kupigapiga kelele ndio muone kaongea, tafakari maneno yake na mikakat yake, speech sio kupigapiga makelele kams ya mbowe
 
Nyi si mmezoea speech za kupigapiga kelele ndio muone kaongea, tafakari maneno yake na mikakat yake, speech sio kupigapiga makelele kams ya mbowe
Si bora hata angeweza kupangilia hayo maneno? Na kuyatamka? Ashukuru sana pesa zake zimemsaidia jana pale kama si yule mzee Kingunge kuamua kuhutubia hali ilishakuwa mbaya pale. Mzee lowasa alibaki kusema nitafanya maamuzi magumu anawauliza watu nirudieee. Teh teh teh
 
ivi sis tumekuwa brain washed na nini?
ivi inamaana mtu kumudu mdahalo na Dr slaa baasi ana qualify kuwa rais?
tunatumia sayansi gani kujua kwamba kipimo sahihi ni mtu kuweza kucompete na Slaa
aina hiyo ya measurement imekuwa quantified vipi na wapi?

je nani aliyemfanya Slaa kuwa benchmark??

na je quantity of measurements zikoje ama utatuambia ni slaa/m[SUP]2[/SUP] /sec??
Salary Slip leo brodah hebu rudi upya useme unataka kusema nini na sio kwa mada kama hii, najua wewe u mzuri zaid ya hivi na uwezo wako ni mkubwa kuliko hivi.
 
Last edited by a moderator:
Maswali ya papo kwa papo yalimshinda, ndio ataweza mdahalo na Slaa? Mwenzake alikimbia 2010 na kujifanyia mdahalo wa peke yake.
Ova

lowasa akiri yake imeliwa na mchwa.Uwezo wake mdogo sana wa kujenga hoja.Yeye anajua kuiba tu maccm mwaka huu yatauwana.
 
nilikua sijawahi kumsikia lowasa akiongea popote, hata bungeni sikuwahi kumsikia akichangia chochote, lakini kwa hutuba yake ile leo, hakuna shaka yule jamaa ni kichwa maji, hafai hata ukuu wa wilaya achilia mbali urais...

umenifurahisha sana
 
ivi sis tumekuwa brain washed na nini?
ivi inamaana mtu kumudu mdahalo na Dr slaa baasi ana qualify kuwa rais?
tunatumia sayansi gani kujua kwamba kipimo sahihi ni mtu kuweza kucompete na Slaa
aina hiyo ya measurement imekuwa quantified vipi na wapi?

je nani aliyemfanya Slaa kuwa benchmark??

na je quantity of measurements zikoje ama utatuambia ni slaa/m[SUP]2[/SUP] /sec??
Salary Slip leo brodah hebu rudi upya useme unataka kusema nini na sio kwa mada kama hii, najua wewe u mzuri zaid ya hivi na uwezo wako ni mkubwa kuliko hivi.

Umeanza vizuri hoja yako na ina mashiko ila hapo mwisho kwa nini unambembeleza wakati objectively he is totally wrong??!!!

Tuwaambie bayana hawa wafuasi wa vyama kuwa mihemko isije kwenye vitu ambavyo vinahitaji validity na reliablity. . . . . .ili wajue kuna zone ya watu wasiomeza siasa
 
Last edited by a moderator:
ivi sis tumekuwa brain washed na nini?
ivi inamaana mtu kumudu mdahalo na Dr slaa baasi ana qualify kuwa rais?
tunatumia sayansi gani kujua kwamba kipimo sahihi ni mtu kuweza kucompete na Slaa
aina hiyo ya measurement imekuwa quantified vipi na wapi?

je nani aliyemfanya Slaa kuwa benchmark??

na je quantity of measurements zikoje ama utatuambia ni slaa/m[SUP]2[/SUP] /sec??
Salary Slip leo brodah hebu rudi upya useme unataka kusema nini na sio kwa mada kama hii, najua wewe u mzuri zaid ya hivi na uwezo wako ni mkubwa kuliko hivi.

kama hawez kujenga hoja utampima vipi uelewa wake
 
Last edited by a moderator:
kila uchafu unaouona nchi hii ulifichuliwa na Dr slaa ,
kipi usichokijua , umewahi kumsikia lowasa akipambana na mafisadi ? bali hujasahau kwamba slaa ndio kiboko ya wezi nchi hii .

Hata kama hayo uyasemayo ni kweli je,ndiyo kitu cha kutushawishi kuwa Dr.Slaa ndiye anayetufaa kuwa Rais wetu? Kwangu mie naona ndiyo kazi ya vyama vya upinzani.
 
Umeanza vizuri hoja yako na ina mashiko ila hapo mwisho kwa nini unambembeleza wakati objectively he is totally wrong??!!!

Tuwaambie bayana hawa wafuasi wa vyama kuwa mihemko isije kwenye vitu ambavyo vinahitaji validity na reliablity. . . . . .ili wajue kuna zone ya watu wasiomeza siasa

well, nimejikuta nambembeleza manake nimejiskitikia sana.
Ujue nilichogundua ni kuwa sisi watanzania tumekuwa influenced zaid na mapenzi kwa watu badala ya kuangalia vitu vya msingi zaid kama vile uwezo wa mtu kiuongozi, sera, dira na strategies za mgombea katika uongozi.

tukianza eti kusema nani anamudu kushiriki mdahalo na Slaa ipo siku watu watakuja kuanza kufananisha sura nani mwenye sura nzuri zaid ya mwenzake, na mwingine ataenda mbali zaid nani photogenic zaid ya mwenzie ili aweze kuipamba Tz kwa picha nzuri ya rais.

Hata kama ni ufuasi wa huyo Slaa lakn iwepo basi mantiki ya kumuuza unayemtaka
 
MAMBO 10 NILIYOJIFUNZA KWENYE "SANAA ZA MAONESHO" ZA LOWASSA.

By Malisa GJ,

1. Asilimia zaidi ya 90% ya watu waliokuwepo uwanjani wamegharamiwa. Bodaboda walilipwa, Wanafunzi walisafirishwa, Waandishi walilipwa. Wachache walioenda kwa hiari yao walienda kushangaa tu wala sio mashabiki wa Lowassa. This is to say ikiwa Lowassa asingetumia pesa huenda uwanjani angekua yeye na familia yake tu.

2. Wengi wanaomuunga mkono Lowassa ni "opportunists". Ni watu wanaotegemea akiingia madarakani awakumbuke. Either awape vyeo au awape unafuu kwenye biashara zao. Hakuna yeyote kwny kundi la Lowassa anayemuunga mkono kwa lengo la kuisaidia nchi.

3. Afya ya Eddo imedhoofu sn kuweza kuwa Rais wa nchi. Alipoingia uwanjani ameshindwa kupanda ngazi za jukwaa, akasimama katikati ya ngazi kwa dakika chache kabla ya kusaidiwa kupanda. Pia anaongea kwa Shida, na mikono yake haina nguvu. Hali hii imesababisha ashindwe kushika microphone alipopewa "mike" na Kibonde.

4. Mkutano wa Lowassa leo ni biashara kama zilivyo biashara nyingine. Kuna watu wamepata hela ya kulipa mahari kupitia mkutano huu, kuna waliopata mitaji ya kukuza biashara zao na kuna waliopata lift za bure za kwenda Arusha kufanya mambo yao. Hii inaitwa "mbwa kala mbwa"

5. Kutokana na maelezo ya Eddo ni wazi kuwa ana "bifu" na JK. Amekiri kuwa alimpigania sn Kikwete 1995 na 2005 lakini inavyoonekana JK amemsaliti.

6. Akiingia madarakani atalipiza kisasi kwa wabaya wake wote hasa Samuel Sitta, Anthony Diallo na vibaraka wao wote. Ikiwa Eddo atashinda kuna dalili Sitta, Dialo, Makonda, na vibaraka wengine wa CCM wakaishia jela.!

7. Mkutano wa leo ulikua ni mkwara wa kuionesha Kamati kuu ya chama chake kuwa ana nguvu kiasi gani, ili wasijaribu kabisa kukata jina lake wakihofia kukipasua chama.

8. Safari ya matumaini ni safari ya matamanio. Au unaweza kuiita safari ya matumizi. Huwezi kutumia 1.4 bilion for just a single day wakati kuna watu wanakufa kwa kukosa "padadol" ya shilingi mia halafu ukasema ni matumaini. Labda matumaini ya kuuza nchi.!

9. Ikiwa Eddo atashinda Yuko tayari kutumia rasilimali za nchi ili kulipa fadhila kwa rafiki zake waliomuunga mkono wakati wa kugombea. Kwa mfano yupo tayari kumgawia Mengi vitalu vya gesi Mtwara na kuwaacha watanzania wasinufaike na gesi yao kisa tu Mengi alimpa support kwny kugombea.

10. Lowassa ni msanii mzuri wa sanaa za maonesho. Ametumia makundi yote mawili ktk kufanikisha azma yake. Kundi la Maskini na kundi la matajiri.Ametumia maskini kwa kuwaahidi kuwa atawabana matajiri walipe kodi ili kuboresha maisha ya maskini.

Na ametumia matajiri akiwaahidi kuwa atawabana maskini ili wasipige kelele wakati anawagawia matajiri rasilimali za nchi. Hii ni sanaa. Ha hakika hapa Eddo ameitumia vizuri elimu yake ya sanaa ya chuo kikuu cha Dar es Salaa. (B.A in Fine &Perfoming Arts).!

NB: Watanzania hawawezi kuruhusu kumpa nchi hii "msanii". Nchi hii inatakiwa kuongozwa na mtu "real". Na mtu real hawezi kupatikana kwingine nje ya UKAWA.!

#SAY_NO_TO_SANAA
#SAY_NO_TO_CCM
#BE_REAL . #VOTE_FOR_UKAWA .

Teh nimecheka sana kwenye namba 4 km ni kwel
 
kama hawez kujenga hoja utampima vipi uelewa wake

hoja gani unayotaka ajenge akashindwa?
ama mnakuwa influenced na yaleyale eti ni mfichua maovu mkasahau kwamba hiyo ni kazi ya chama chochote cha upinzan.
niambie kwanza quantity of measurement kwa mtu anayeweza kumudu kudahalika na Slaa ni ipi??
who has said Slaa is the best among all?
hivi mnamuweka wapi Prof. Lipumba tukisema tuangalie mtu ambaye kweli ni presidential material?
 
Lowasa na Slaa wote ni wagonjwa huwezi kupambanisha wagonjwa utakuja pata kesi
 
well, nimejikuta nambembeleza manake nimejiskitikia sana.
Ujue nilichogundua ni kuwa sisi watanzania tumekuwa influenced zaid na mapenzi kwa watu badala ya kuangalia vitu vya msingi zaid kama vile uwezo wa mtu kiuongozi, sera, dira na strategies za mgombea katika uongozi.

tukianza eti kusema nani anamudu kushiriki mdahalo na Slaa ipo siku watu watakuja kuanza kufananisha sura nani mwenye sura nzuri zaid ya mwenzake, na mwingine ataenda mbali zaid nani photogenic zaid ya mwenzie ili aweze kuipamba Tz kwa picha nzuri ya rais.

Hata kama ni ufuasi wa huyo Slaa lakn iwepo basi mantiki ya kumuuza unayemtaka


Shukraaaan. . . . . . huyu ndiye gfsonwin the teacher. . . . . . . .
Mie naona kama nakata tamaa haswa linapokuja suala la watu kukosa hoja wakati wa uchaguzi kama unavyosema; vijana wanawaza U DC tu na kukumbukwa kwenye ufalme. . . . .yaani tumbo-njaa-syndrome ya hatari kabisa!!!

Too sad. . . .
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom