Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,322
- 271,652
nitajie faida tatu tu za uongo ulizopata tangu uanze tabia hiyo .Aliyoyasema jamaa ni yakweli kabisa ,tusijipe upofu eti kwakuwa ni wanachadema.Nani asiejua kuwa viongozi wetu wa chama ni wapiga deal?