gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
Shukraaaan. . . . . . huyu ndiye gfsonwin the teacher. . . . . . . .
Mie naona kama nakata tamaa haswa linapokuja suala la watu kukosa hoja wakati wa uchaguzi kama unavyosema; vijana wanawaza U DC tu na kukumbukwa kwenye ufalme. . . . .yaani tumbo-njaa-syndrome ya hatari kabisa!!!
Too sad. . . .
afu ujue nini?
wengi wetu ndo wale wale usipokuwa na nyota ukaonekana baada ya kumpa kura unaanza huyu mtu bogas kabisa, hafai, ni mjinga nk.
tunajisahau kwamba tulisukumwa zaid na ile dhana kwamba akipata atanikumbuka, maisha hayako ivyoo bhanaaa.......
tujiwekee misimamao kama watanzania kwamba tunataka kiongozi gani na kiongozi ajiuze kwa matendo yake lkn si kwasabb ya mob influence tena ya mtu mmoja kutuaminisha kwamba anafaa zaid
eti adi wanamfanya awe ndo measurement aaaa tseeeee!!!