Kitaja
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 2,836
- 1,383
kaka unasemaje?
Mimi sina usemi kaka nasubiri upepo tu nione "nyeti za kuku zikiwa wazi"
kaka unasemaje?
Tatizo dj mbowe mtoto wa mjini kapiga pesa mazuzu yapo km misukule.
Ma lofa ya hovyo kweli. Mbowe kapiga dili ya hela ndefu, yenyewe yametupiwa wimbo unaoitwa Mfumo wauimbe tu
Nashindwa kuwaelewa wafuasi wa CHADEMA wana nini vichwani mwao.
Hata sisi tunashindwa kukuelewa una nini kichwani mwako miaka 53 unaibiwa umeridhika