Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 8,069
- 15,754
Nililala usingizi mwororo kabisa maana nafasi ya 3 kwa timu kubwa "Chelsea FC" kimsimamo EPL haina ladha kabisa kuliko nafasi ya 1 na kubeba ubingwa wa EPLHakuna Timu yoyote inayotamani kukutana na Chelsea
Tunabeba zote EPL na UCL kwa pamoja
Super Lukaku lazima abebe Kiatu cha ufungaji bora![]()



Wolves