Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

THE BLUES NEXT FIXTURES

Wolves
Leeds
Leicester
Watford
Zote hizo ni kushinda mwanzo mwisho, isipokuwa hatukuwa tayari kumwacha legend wetu Lampard ashuke daraja na Everton ili mwakani aendelee kuwasumbua akina Liverkuku na Mwacity ambavyo mwaka huu alimsumbua sana Mwacity hadi alipewa ushindi wa mezani (si ushindi halali)
 
Yaani TT alipokua anahojiwa baada ya game na ATM.

Alisema hakuna timu inayotaka kucheza nao kwa sasa na akasema kua timu yake haipaswi kumuogopa yoyote....

Hizi ni kauli nzito sn anatoa saizi huyu TT.

Na unajua wakati anakabidhiwa timu baada ya kufukuzwa Lampard malengo makuu aliyopewa TT ni kuhakikisha Chelsea inamaliza ndani ya top four kitu ambacho mpk saizi ameshafanikiwa....


Na kutokana na kikosi chake kua ktk form mzuri sasa tones imeanza kubadilika kutoka kwake yeye TT na wachezaji kwa ujumla. Wanataka makombe yaani wanataka kushinda FA na UEFA.


Swali linakuja kuuuuubwa kwamba je TT alishindwa kushinda UEFA akiwa na kina Mbape na Neymar je ataweza kuchukua kombe na hii squad ya Chelsea yenye wachezaji wa kawaida?????


Kazi kwetu wana Chelsea wenzangu nini maono yenu?
Mnakumbuka maneno haya

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
20/10 - Romelu Lukaku is the only player across the last 15 seasons to record 20+ goals and 10+ assists in a single Serie A campaign. Unprecedented. We look at why Chelsea are set to break their transfer record to bring the Belgian back to England.
Hakika mlipata jembe Sasa ana gol hata kumi zimefika?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Dah jana nilikuwa bize nikashidwa hata kupitia huku.
20220311_190758.jpg
 
Hapo umechukulia kuwa Spurs na Arsenal watafunga mechi zao zote, imposible
Arsenal ana uwezo wa kubahatisha points 6 tu kwenye mechi zao zilizobaki
Spurs wanaweza nao kubahatisha point sita tu
Chelsea droo moja tu inaweza sio tu kutubakiza top 4 hata nafasi ya 3
Hahaaaa Eti Arsenal katika mech 5, point 15 atoke na 6 points

Haya katika 5 , moja tayari 3 points,
 
Kuna unayeona anaweza kuokota hata droo hapo?

Ratiba ya Chelsea Kuna wawili wana weza mvuta shati, wolves kashapigika mech 4, anataka kufufukia kwa Chelsea
hapo wa kumuogopa ni leeds yuko pabaya kama Everton, wolves hana cha kupambania
 
Zote hizo ni kushinda mwanzo mwisho, isipokuwa hatukuwa tayari kumwacha legend wetu Lampard ashuke daraja na Everton ili mwakani aendelee kuwasumbua akina Liverkuku na Mwacity ambavyo mwaka huu alimsumbua sana Mwacity hadi alipewa ushindi wa mezani (si ushindi halali)
Hata mimi niliwaza hilo, wachezaji wengi pale Chelsea na vipenzi vya Lampard
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom