Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kocha nae huu mfumo wa mabeki wa 5 aachane nao msimu ujao aongeze nguvu kwenye viungo ubunifu uwe mkubwa pale kati mibeki mingi uoga tu na bdo tubaruhusu magoli kizembe
mfumo hauna shida
 
Sir Jim Ratcliffe's Chelsea bid 'lower than other offers and already dismissed'
4.2bn ilionekana kubwa kwa sababu sehemu ya hiyo (1.74bn) ilikuwa ni commitment yake ya miaka 10 kwenye uwekezaji na 2.5bn ndio angetoa cash. Wengine waliokuwepoo waliahidi kutoa cash karibu na bilioni 3
So Sir Ratcliffe katupiliwa mbali
 
Game itakayofuata ngumu kwetu ni ya Leeds united. Hawa ni wafa maji, anajua fika pts 3 kutoka kwa Chelsea ni uhai wao. TT asipojipanga tutakunywa tena na Arsenal watatuka tumepaki gari bovu
 
Hii timu kwakweli tumalize Tu msimu, pia wamiliki wapya wajulikane Kwa wakati, maana Kwa Hz games jinsi tunavyocheza unaona tunaaffectiwa na mambo yanayotokea nje ya uwanja( sanctions Kwa Chelsea na Roman kutoka Kwa UK govt), bado kuna mustakabali WA wachezaji kuextend Mikataba, inconsistency ya wachezaji, baadhi ya wachezaji Moto umeshakata + fatigue Kwa wachezaji( maana mpk January mwaka huu Chelsea walikuwa wakishiriki mashindano yote) + club world cup... Kiukweli Tuchel kajitahidi Sana ..TT naye inasemekana kulingana na yanayotokea klabuni Labda anaweza akaikacha Chelsea...kwasasa kama Una presha usiende kucheki game zote zilizobaki Labda tulio na roho ngumu Tuombe mustakabali WA kuwapata wamiliki wapya ukamilike..then fungu la pesa liwekwe Kwa ajili ya TT asajili wachezaji anaoona wanafaa sio sajili km z kina bakayoko, Drinkwater morata n.k.....
 
Kukumbushana sio dhambi wakuu
20220503_001050.jpg
 
Wolves ndio hatar hapo ,ameshapoteza mech 4, anaijua low block vzr ukizingatia kwasasa Chelsea kufunga Ni sufuri

Wolves akishinda anaenda Europa conference league,
We sema ww ndio ungependa wolvs washinde, ila jua kua chelsea sio mbovu kama watu wanavyozani, mpira upo mwingi tu. Hata arse88 mlitufunga kw uzembe w mabeki, na sio kwamba labda kwamba mlicheeeza, mana tuliwazid kila kitu. Pia na kw Everton ni hivyo hivyo uzembe wa beki.

Timu zote zilizobaki sijaona w kumfunga chelsea, endelea kuomba mabek waendelee kufanya makosa hapo ndio itakua njia yako y kuingia top 4.
 
We sema ww ndio ungependa wolvs washinde, ila jua kua chelsea sio mbovu kama watu wanavyozani, mpira upo mwingi tu. Hata arse88 mlitufunga kw uzembe w mabeki, na sio kwamba labda kwamba mlicheeeza, mana tuliwazid kila kitu. Pia na kw Everton ni hivyo hivyo uzembe wa beki.

Timu zote zilizobaki sijaona w kumfunga chelsea, endelea kuomba mabek waendelee kufanya makosa hapo ndio itakua njia yako y kuingia top 4.
Haha Eti mnafungwa kwa uzembe wa mabeki,

Watu Wana press had mnaachia ,unasema uzembe ,

Bila uzembe Hakuna timu inayofungwa
 
Wolves ndio hatar hapo ,ameshapoteza mech 4, anaijua low block vzr ukizingatia kwasasa Chelsea kufunga Ni sufuri

Wolves akishinda anaenda Europa conference league,
Mzee wawazie Newcastle na spurs...yaan unawawazia Chelsea ilhali Una hizo mechi ambazo huchomoki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom