Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mafanikio mojawapo aliyopata TT ni kuwalinda hawa hapa chini wasipate injuries za kijinga jinga. Naomba aendelee hivyo hivyo msimu huu unaoanza hivi karibuni
  1. Pulisic
  2. Kante
  3. Ziyech
  4. Odoi
Hao wachezaji wakiwa wazima msimu wote, kombe tumebeba asubuhi au mchana kweupe
 
Kuna tatizo gani hapo academy/Chelsea mbona madogo wanaondoka sana.?
Ameenda kwa mkopo, tho wengine wameuzwa kwa sabab hawakutaka kusain mkataba, mchezaj pekee aliyetoka academ bila kwenda kwa mkopo ni CHO, hawa wengine wakapate uzoefu kwanza + muda wa kucheza
 
Cristiano Ronaldo kawazidi Pele, Romario, Leo Messi na Puskas kwenye kufunga magoli katika historia ya soka duniani

Here we go
1628580414094.png
 
He is HOME again....Welcome Lukaku

Romelu Lukaku is flying to London to complete his £97.5m (€115m) transfer to Chelsea from Inter Milan.

The 28-year-old underwent the first part of his medical in Milan after the Italian champions agreed in principle a club-record deal to re-sign the striker.

 
We will miss you Tammy..... !! Best wishes.

Roma have agreed a £34m deal to sign Tammy Abraham from Chelsea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom