Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ambangile " nilisha sema na naendelea kusema ,atakaye maliza juu ya Chelsea ndio bingwa ,kwa Sasa Chelsea ni tishio kubwa Sana sioni wa kumfunga kabisa ,"""' November 12 ,2021 muda saa 10:36 kipindi Cha sport arena wasafi fm "


Maake kwanza nicheke kidogo
 
Ambangile " nilisha sema na naendelea kusema ,atakaye maliza juu ya Chelsea ndio bingwa ,kwa Sasa Chelsea ni tishio kubwa Sana sioni wa kumfunga kabisa ,"""' November 12 ,2021 muda saa 10:36 kipindi Cha sport arena wasafi fm "


Maake kwanza nicheke kidogo
Haaaaaaah haaaaaaah , kujigamba hakufai kabisa, yuko hali gani Jamani?
 
IMG_2368.jpg
 
Ambangile " nilisha sema na naendelea kusema ,atakaye maliza juu ya Chelsea ndio bingwa ,kwa Sasa Chelsea ni tishio kubwa Sana sioni wa kumfunga kabisa ,"""' November 12 ,2021 muda saa 10:36 kipindi Cha sport arena wasafi fm "


Maake kwanza nicheke kidogo

Mkuu hata wewe pia ulikuwa unaamini hivyo baada ya kipindi hicho Chelsea kuongoza ligi kwa point 4 .

Leo hii Chelsea hakuna tofauti na Arsenal ,me nilikataa kabisa chelsea hawana wachezaji wakuwapa ubingwa wa Epl.na nilitabiri kabisa kocha watamtimua msimu ujao. Epl kugumu sana.
 
OllaChuga Oc eti ni kweli kenge kusikia kwake ni mpaka pale damu zikianza kumtoka masikioni?
Masikini timu linaenda kupoteana hili, na baada ya kuuzwa hata hio top 10 sidhani kama litakuwepo,
Timu linarudi lilipokua kabla ya kununulia na Abramovich.
Ushauri wangu wa bure kwa mashabiki wa Chelshit kama wanataka furaha ya maisha kuanzia msimu ujao wahamie Newcastle United.
tapatalk_1260956745_360x450.jpg
 
Yani nyie mpaka tuhakikishe ile nafasi ya Spurs ya sasa ndio mnamaliza nyie!😆
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom