Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Naiona sare
Sare ya nini kwa mfano?
Naiona sare










Kocha nae huu mfumo wa mabeki wa 5 aachane nao msimu ujao aongeze nguvu kwenye viungo ubunifu uwe mkubwa pale kati mibeki mingi uoga tu na bdo tubaruhusu magoli kizembeMsimu uishe tuu tujipange upya (Usajili + mifumo + Style)
Aisee kweliHope umekosea uzi mkuu, now tuko na marehemu hapa tunamfunga mfungo wa peremende
Hii picha kali sana
Haaaaaaah haaaaaaah , kujigamba hakufai kabisa, yuko hali gani Jamani?Ambangile " nilisha sema na naendelea kusema ,atakaye maliza juu ya Chelsea ndio bingwa ,kwa Sasa Chelsea ni tishio kubwa Sana sioni wa kumfunga kabisa ,"""' November 12 ,2021 muda saa 10:36 kipindi Cha sport arena wasafi fm "
Maake kwanza nicheke kidogo![]()
Naona kuna game mbili anapoteza points hapoTHE BLUES NEXT FIXTURES
Wolves
Leeds
Leicester
Watford
Ambangile " nilisha sema na naendelea kusema ,atakaye maliza juu ya Chelsea ndio bingwa ,kwa Sasa Chelsea ni tishio kubwa Sana sioni wa kumfunga kabisa ,"""' November 12 ,2021 muda saa 10:36 kipindi Cha sport arena wasafi fm "
Maake kwanza nicheke kidogo![]()
.
,me nilikataa kabisa chelsea hawana wachezaji wakuwapa ubingwa wa Epl.na nilitabiri kabisa kocha watamtimua msimu ujao. Epl kugumu sana.Wewe zako hupotezi, sio!?Naona kuna game mbili anapoteza points hapo
Mimi hata nifungwe zote chelsea hanipati