Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Halafu wenyewe wanatamba kinoma kua ni mabingwa wa gunia.
Tena bahati yao leo beki nguli na ghali kuliko beki yoyote duniani hajapangwa, angekuwepo Le Captain Maguire hawa kenge wa darajani wasingepata hata hilo goli moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Angetupa goli, ndio bahati yetu mbaya. Hadi DeGea anamhofu
 
Kama angekuwepo Roman bado kiongozi wa Chelsea angemfuta kazi kocha Tuchel May hii!
Tuchel hana cha kujivunia zaidi ya mafanikio ya kubahatisha ya mwaka jana.
Hata kocha Di Mateo alichukua UCL
 
IMG_2368.jpg
 
Kama angekuwepo Roman bado kiongozi wa Chelsea angemfuta kazi kocha Tuchel May hii!
Tuchel hana cha kujivunia zaidi ya mafanikio ya kubahatisha ya mwaka jana.
Hata kocha Di Mateo alichukua UCL
Hivi unaweza ukawa mwanaume kamili ukasimama mbele ya wanaume wenzako ukakaza na msuli wa matako ukamwambia mwanaume mwenzako kabaatisha? Wewe ulishindwa kubahatisha?

Kweli, kweli kabisa?
 
Jumatatu ijayo mmiliki mpya atajulikana
Inasemekana atainunua Chelsea kwa paundi bilioni 3.5
 
Bid ya Consortium ya Sir Martin Broughton imeingiwa na dosari baada ya kugundulika kuwa walichukua mkopo wa paundi mil 500 kutoka kwenye benki tatu za Marekani
 
Tumetenga paundi mil 250 katika manunuzi msimu huu wa kiangazi
Haya vipaumbele ni vipi
Mabeki wanaofuatiliwa ni
  1. Sevilla's Jules Kounde,
  2. Paris Saint-Germain's Presnel Kimpembe
  3. Atletico Madrid's Jose Gimenez
 
Katika Mechi 5 zilizobaki, tukishinda mechi 3 tuu kwa magoli mengi tunamaliza TOP 4.
Hapo umechukulia kuwa Spurs na Arsenal watafunga mechi zao zote, imposible
Arsenal ana uwezo wa kubahatisha points 6 tu kwenye mechi zao zilizobaki
Spurs wanaweza nao kubahatisha point sita tu
Chelsea droo moja tu inaweza sio tu kutubakiza top 4 hata nafasi ya 3
 
Hii mikenge ya darajani haina uwezo wa kuifunga United hata timu letu likiwa bovu kiasi gani.
Tulitegemea Chelsea kukutana na upinzani mgumu kwa timu dhaifu
Sasa tunaziogopa akina Norwich kuliko Liverpool
Bado tuna Everton, Wolves, Leeds, Leicester city na Watford
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom